allah siyo mungu na hajawai kuwa mungu, vile vile hana ubavu wa kumuhukumu mwanadamu. Siku hiyo nikutane naye eti anahukumu watu kwenda jehanamu eti aniambie niende jehanamu patachimbika. Allah ni kiumbe kidogo sana. Mwisho wa yote niseme hivi, siyaungi mkono mavazi yasiyousitili mwili, hata biblia inawtaka wanawake wavae mavazi yenye kusitiri miili yao. Angalizo, mavazi tu siyo kipimo cha utakatifu au ucha mungu, maana kuna mkoa ambao asilimia kubwa ni watukufu (waislamu) na wanawake wanavaa nguo za kujifunika mwili mzima lakini baadhi mabinti wao pamoja na kujitahidi kutunza bikra wanaingiliwa kinyume na maumbile, mbele tundu la sindano, nyuma bwawa la mtela.