Mavazi ya kanisani balaaa...

Status
Not open for further replies.

Wajinga wengi wanadhan mungu mungu yuko kanisani!? Yesu alimwambia yule mwanamke wa kisamalia 'mama niamini ...hamtamwabudu mungu kwenye huu mlima wala huko yerusalem! Bali mtamwabudu ktk roho na kweli! Kumbuka kuna wazinzi wengi wanahamasika kingono hata kwa kuona midomo tu!! Hivyo ukiona mtu analalama. ooh! nguo fupi basi mchunguze vizuri! utagundua ana roho ya uasherati au uzinzi! Poleni sana mnaovurugwa na vivazi vya wadada!! those are minor temptentions!!!!
 
Unashangaa hayo makanisa mengine wanaingia uchi kabisa:

The Naked Church
At Ivor Church, Clothing Is Optional




Akili za kuambiwa changanya na zako, We kila mada inayoletwa humu kazi kuc0py na kupest kwenye mitandao mingne! Wewe kama wewe huna mawazo mwenyewe ya kujitegemea? Kwanini usitumie Quaran kutetea hoja zako! Hilo kanisa linafungamana vipi na wakristo wa kweli?
 

Nimevutiwa na no.3. huu ni ubakaji! Sheria zetu haziruhusu binti wa miaka 8 au 9 kuolewa! Kwani wakubwa hawakuwepo enzi hizo???alivutiwa nini na katoto hako???[asha] majanga!! Kumbe ndio maana walimu wa madrasat hubaka vitoto wanavyovifundisha!! Wanamuenzi kiranja wao!!
 

Mkuu hili swala la imani moyoni mwako linapelekea watu kuanza kwnda na chup kanisani ifikapo huko miaka ya 20.. nadhani kuna mahali imenenwa "iweni watakatifu wa miili na roho"
 

Ushahidi kamili. Vipi, inauma.

Halafu wewe umesahau kuwa hata JF upo mtandaoni?

Tatizo nnaloliona hapo ni shule tu, badala ya kwenda kupata ilmu wewe shule yako imekujaza ujinga. Hata ukweli unadhani unaweza kuukimbia.
 

Na wale mapadri wanaokula vitoto vidogo wanamuenzi nani?
 

Na picha ulitaka aweke ya kwake au!?
 

Hawa ndio walingia bila nguo Kanisani !?
 
ukristo ni dini ya kutunga kwa maslahi ya watu.Dini haina hata vazi la ibada.

mwenye kimini sawaaaaaa
mwenye kipedo sawaaaaa
mwenye bikini sawaaaa
mwenye bukta sawaaaa.

kuna mdada huwa anapita hapa skani kwenda kanisani......... ....mara ya kwanza skujua kama anaenda kanisani me nilijua ni weekend anaenda kwa mshikaji........duh kuchek mkonini ana bible...majanga
 
Kanisani unaenda kusali au kuangaliamavazi ya mtu?
 

We ndo mbululaaaa kabisaaa mada haiongei hayo au ndo nyiee.,..
 

Heri yetu sisi tunaenda na vimini lakini ndani tunavaa pant.
Kuliko nyie mnaoswali uchi wa mnyama.....kunusishana utoko tu
 

Kama nzenji vile,swala tano na full baibui macho tu yanaonekana.lakin sasa uko nyuma jamaa wanavyo gonga kiasi kwamba ni nguzo ya uislam
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…