Kama nzenji vile,swala tano na full baibui macho tu yanaonekana.lakin sasa uko nyuma jamaa wanavyo gonga kiasi kwamba ni nguzo ya uislam
Kina nani wanaswali uchi?
Nyie waislamu.
Uchi? Kivipi, hebu nieleweshe kidogo, naswali kila siku ila sijaona mtu anaswali uchi
Njoo msikiti wa Mtambani hapa Kinondoni utawaona.
Uchi naked? Au uchi vipi? Kwakweli umeniacha paleeee njia panda kigogo
Nimeshakupa direction.
Sitaki maswali
Kama kuna nchi ya watu waongo basi wewe ungekua obama wao, unaongea as if hao unaoongea nao wametoka kuzaliwa mda huu. Umeona wapi waislam wanaswali uchi? Acha hizo dada
Nadhani suala lakuvaa lisiwe kanisani hata kwenye daladala hizi mambo ni majanga.Tuanzie kukutaa kila mahali maana hata barabarani mavazi yanatuhamisha mawazo.Why only in charches?
Umeona eeeeeee.
Wanaongoza kwa kufumuana tigo.
Eti umeshawahi kusikia mahali kuna mganga mkristo?
Mungu si kuchezea kama unavofikir ndugu yangu,kwan mtu akivaa nguo ya kumuacha uchi siinaonekana? Mungu anakwazika sana na watu wa aina hii haswa wanawake na wale wanaume mnaovaa visurual vinavobana na kata K,halaf mnaenda nazo kanisan, kwel jaman huu ni uungwana mbele za Mungu? Hebu achen kumchezea jamanMwenyezi mungu alimuuliza adamu kuwa 'nani amekwambia uko uchi?' Na mimi nikuulize mleta uzi 'je ninani amekwambia kuwa wako uchi?' Ni lazima una pepo la ngo.. linalokuongoza! P'se likemee! Je ukiwaona mabushmen si utazimia? Hivyo vijinsi vyako unavyovaa zaman havikuwepo! Kumbuka mungu ni roho nao wamwabuduo wanamwabudu ktk roho na kweli!
Nimeshasoma na nimegundua
Hizi aya za qur'an zilishuka kwa ajili ya ng'ombe jike la rangi ya manjano, na kwa ajili ya wadudu, na vichuguu ndio maana binadamu wakizifuata wanageuka misikule, Mazuzu, na mazezeta
Ushahidi kamili. Vipi, inauma.
Halafu wewe umesahau kuwa hata JF upo mtandaoni?
Tatizo nnaloliona hapo ni shule tu, badala ya kwenda kupata ilmu wewe shule yako imekujaza ujinga. Hata ukweli unadhani unaweza kuukimbia.
Nashukuru maishani mwangu sijawahi pata Ilim ila Elimu nimepata!!
Any 0ne can google na sio kila kinachoandikwa kwenye wikipedia or anywhere else kipo sahihi! Si ulishakia kuna makanisa ya kishetani?! Hayo yana uhusiano upi na ukristo?
Afu maneno ya asiejua huwa hayaumi!
Babu kanisa la kishetani na hayo mengine yana tofauti zipi? kiwa ushtani upo mpka Vatican au hujausoma ushahidi huko juu nikuongezee? hilo ni kanisa la Kikristo na nguo hapo ni "option".
Sasa wewe niambie kuabudu picha ya mzungu kama si ushetani ni nini?