Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Wanawake wengi wamepoteza heshima kwenye jamii na watu wanao wazungu na sababu ya kuvaa mavazi ya kihuni / kimalaya.

Wanawake wengi wanapoteza kukubalika kwa wanaume zao sababu ya mavazi yasiyo na staha.

Wanawake wengi wamepoteza kukubalika na watu hata kwa watoto wao na wale wanaowaongoza sababu ya mavazi yasiyo na staha.

Unakuwa kiongozi au mzazi/mlezi/Mwalimu /askari n.k. Ukienda uchi utatumia nguvu nyingi ktk kueleweka Na wanaokuzuunguka.
sasa kama askari yuko kazini akavaa uchi hapo anakosaje kueleweka?
mhubiri akivaa mavazi ya kikahaba kuwapata makahaba waje kwa Yesu anakosaje kueleweka?
embu waza nje ya boxi basi
 
Mbona nimesoma ndani ya biblia kuwa hata kizazi cha Yesu kwenye biblia kinatokana na kahaba?

Hujasoma hilo?
kahaba alimsaidia mtumishi wa Mungu asife ndio Mungu akamsaidia huyo kahaba akaacha ukahaba na uzao wake akamzaa Yesu Kristo
 
Biblia siyo gazeti.Wala so kitabu Cha hadithi/riwaya

Huo mfano maana yake usihukumu ukidhani wewe Ni msafi zaidi. Kwani hao unaowaona wachafu wanaweza kutubu na kubadilika wakawa wema na mbingu wakaiona.

Pili maana yake tusiwe wepesi wa kuhukumu wenzetu. Wakati pia sisi Ni wakosefu. Tumia mfano wa kibanzi na boriti.

Unaweza kudhani Ni msafi lkn mbele za mwenyezi Mungu ikawa kinyume.chukua mfano wa mafarisayo na watoza ushuru!

Maana ya mfano huo Ni kwamba hukumu Ni ya Mungu, wewe mwanaadamu Ni mchafu na mwenye makosa siku zote. Badala yake tuwaongoze tuwarekebishe wabadilike.Tusiwanyooshee kidole!

Mfano: Kama ww Ni msafi Basi na uwe wa kwanza kurusha jiwe.

Kama huna roho mtakatifu kwa akili zako tu huwezi kuelewa na kuitafsiri biblia, Ndiyo maana hata nikisikia mihadhara yawenzetu Waislamu wakiichambua Biblia naishia kucheka sababu najua hawajui chochote!

Na Ndiyo maana sipendagi kubishana nao sababu tutaishia kukwazana na pengine mwisho usio mwema.

Ni ngumu sana kwa akili za kawaida kuielewa mitano ya biblia na mifano ya Yesu Kristo.

Nb:Yesu Ni jina kuu lipitalo majina yote,kwalo mapepo,majini,wachawi na mkuu wao shetani wanatii! Hakuna jina kama hilo Ila jina la Yesu Kristo.

Amen! Case closed!
huyu hajui hata case closed maanake nini
 
Back
Top Bottom