Biblia siyo gazeti.Wala so kitabu Cha hadithi/riwaya
Huo mfano maana yake usihukumu ukidhani wewe Ni msafi zaidi. Kwani hao unaowaona wachafu wanaweza kutubu na kubadilika wakawa wema na mbingu wakaiona.
Pili maana yake tusiwe wepesi wa kuhukumu wenzetu. Wakati pia sisi Ni wakosefu. Tumia mfano wa kibanzi na boriti.
Unaweza kudhani Ni msafi lkn mbele za mwenyezi Mungu ikawa kinyume.chukua mfano wa mafarisayo na watoza ushuru!
Maana ya mfano huo Ni kwamba hukumu Ni ya Mungu, wewe mwanaadamu Ni mchafu na mwenye makosa siku zote. Badala yake tuwaongoze tuwarekebishe wabadilike.Tusiwanyooshee kidole!
Mfano: Kama ww Ni msafi Basi na uwe wa kwanza kurusha jiwe.
Kama huna roho mtakatifu kwa akili zako tu huwezi kuelewa na kuitafsiri biblia, Ndiyo maana hata nikisikia mihadhara yawenzetu Waislamu wakiichambua Biblia naishia kucheka sababu najua hawajui chochote!
Na Ndiyo maana sipendagi kubishana nao sababu tutaishia kukwazana na pengine mwisho usio mwema.
Ni ngumu sana kwa akili za kawaida kuielewa mitano ya biblia na mifano ya Yesu Kristo.
Nb:Yesu Ni jina kuu lipitalo majina yote,kwalo mapepo,majini,wachawi na mkuu wao shetani wanatii! Hakuna jina kama hilo Ila jina la Yesu Kristo.
Amen! Case closed!