Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

6ikiwa mtu hakushitakiwa neno, naye ni mume wa mke mmoja, ana watoto waaminio, wasioshitakiwa kuwa ni wafisadi wala wasiotii. 7Maana imempasa askofu awe mtu asiyeshitakiwa neno, kwa kuwa ni wakili wa Mungu; asiwe mtu wa kujipendeza nafsi yake, asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi wala mgomvi, asiwe mpenda mapato ya aibu; 8bali awe mkaribishaji, mpenda wema, mwenye kiasi, mwenye haki, mtakatifu, mwenye kudhibiti nafsi yake; 9akilishika lile neno la imani vile vile kama alivyofundishwa, apate kuweza kuwaonya watu kwa mafundisho yenye uzima, na kuwashinda wenye kupinga.


Tito 1:6-10
 
1 Tim 3:1-7

Sifa za Maaskofu
1 Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu, atamani kazi njema. 2Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; 3si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha; 4mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu; 5(yaani, mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje Kanisa la Mungu?) 6Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi. 7Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi.
 
Nimehudhuria baadhi ya huduma zake, nimesoma baadhi ya vitabu vyake....

Yeye ni moja ya wale watu ambao wanaamini mkristo anatakiwa apendeze kimwili na kiroho, yaani ile kwamba ukishaokoka basi umefanikiwa huna haja ya kubadilisha muonekano wako....

Tofauti na kukemea vitu kama ulevi, uzinzi, haongelei sana mambo ya kimwili
 
Back
Top Bottom