Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

jamiif

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
2,413
Reaction score
992
[h=2][/h]


Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!
 
ukute wanalalama hao kua hatuolewi..........wanaume wanatung'ata tu na kusepa!!
 
My mistakes are not worse than urs just because am a woman.....

Hizi model jeans sijui..kama anazovaaga barnaba na bob junior...
Hii milege sijui kata nn kama anayovaaga dully na kina linex sijui na domo......
Napita
 
wengine unakuta vipori lakini walivyo kazana...kuvaa ovyo ...mbaya sana
 

Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!

Halafu ndio mnataka tuwaheshimu. No. Tutawatumia tu na kuwapiga chini.
 
Kama ni sehemu ya burudani haina tatizo na wenyewe si wanaburudisha hadhira..!
 
Hata wanaume hawawezi kuvaa vibukta na kukatiza mitaa lakini wenzetu hawa mmmh
 

Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!


Biashara matangazo,
 
ukute wanalalama hao kua hatuolewi..........wanaume wanatung'ata tu na kusepa!!

Haaaaaaaaaa! Watakua wanalalama HAWAOLEWI NA WANAUME WENYE HELA sio hawaolewi tu! Unaona kuna shepu ya kushika mkaa hapo na kushinda kwenye sink?

Ukimuoa shurti uwe unampeleka huko viwanja daily! Sio akae na kukufulia jinsi! Eboooo!
 
Back
Top Bottom