Shakidinkili
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 458
- 174
HAAAAAAA NYIE VIPI? Soko huria, biashara ni matangazo eti. Hebu wani PM waone nitakavyohangaika nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wanaume hawawezi kuvaa vibukta na kukatiza mitaa lakini wenzetu hawa mmmh


ukute wanalalama hao kua hatuolewi..........wanaume wanatung'ata tu na kusepa!!
Ongeza na hii kwenye maktaba yako
Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!
Lol Lara 1,basi na wao demand zao watakua hawazitambua,they mix up things ndoa na altitude zao!!Haaaaaaaaaa! Watakua wanalalama HAWAOLEWI NA WANAUME WENYE HELA sio hawaolewi tu! Unaona kuna shepu ya kushika mkaa hapo na kushinda kwenye sink?
Ukimuoa shurti uwe unampeleka huko viwanja daily! Sio akae na kukufulia jinsi! Eboooo!