jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 992
- Thread starter
- #41
ni kweli mimi49 halafu mi naamini kuwa HAWAJITAMBUI thamani yao! vinakera sana:frusty:
Wanapenda kuiga sanaa na si kila kitu cha kuigwa!!Wenzao hata wakivaa wanapendeza miili ipo poa na hayo ni maadili yao hata mtoto akivaa bikini mbele ya mzazi ni sawa kwao.....Wakina hao mwenzangu na mie paja limejaa ukurutu :eyeroll1:aibuuuuu
Last edited by a moderator:
