Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

ni kweli mkuu wengi utakuta hata chu.pi hawavai..ina maana hapo akitokea kidume anataka cha fasta, ndio basi tena cha fasta! hatari sana mkuu!
Biashara matangazo mkuu! Watu wa Marketing wanalijua hili.
 
Biashara ya kondoo ipo kwenye mkia...yaa unadhani wasipo acha mapaja na makalio wazi nani atajua kama wamenona?
 


ni kweli kabisa kuficha maungo ndo mpango mzima........ siyo kila mtu atamani tu............
 
Wanataka wavaa baibui club...

Hiyo ni stage muhimu kwenye maisha...waache watanue muda ukifika wataacha kuliko kuruka stage...

Mbona wamependeza hivi.....inawezekana hapo wako club so its okay ama?
 
Wanataka wavaa baibui club...

Hiyo ni stage muhimu kwenye maisha...waache watanue muda ukifika wataacha kuliko kuruka stage...

yaani nyumba kubwa honestly naona kama wamekaa kwenye kochi la club..usiku ambapo hayo ni mavazi ya akwaida kwa hadhira hiyo.....huwezi kwenda na baibui club, aidha usiende kabisa .....au sitegemeinimwona padre/askofu na mavazi yake club au bar.....likewise sitegemei mavazi hayo sehem kama ofisini hivi
 
Last edited by a moderator:
huwa nakuwa mkali kwa mwanamke wangu hasa pale anapovaa nguo kama hivi.....mwanzo hakunielewa but taratibu nikampa somo kuwa ukivaa kiheshima hata wakina siye huwa tunasita kukufuatilia hata tukikufuatilia huwa tunakuja kwa gia kubwa..ila ukivaa hivyo hata hatuhangaiki tunajua we malaya tu..tunachofanya ni kutaka kukuonja alafu basi.....ukiwa na mtu anataka uwe hivyo ujue anataka auzie sura tu na si vinginevyo...hapo unakuwa hujapendwa zaidi umetamaniwa.....
 
Haaaaaaaaaa! Watakua wanalalama HAWAOLEWI NA WANAUME WENYE HELA sio hawaolewi tu! Unaona kuna shepu ya kushika mkaa hapo na kushinda kwenye sink?

Ukimuoa shurti uwe unampeleka huko viwanja daily! Sio akae na kukufulia jinsi! Eboooo!
kinachofurahisha zaidi hao wenye hela wanawachezea hawa vichecheeeeee inapofika wakati wa kuoa wanatafuta wadada wanaojiheshimu ndo wanawaweka ndani..... kicheche anajikuta bado yupo dukani, lol!
 
hivi club ukienda na gauni angalau la urefu kama

au ndefu zaidi, au suruali au pedo hizo bata haziliki?
ni lazima kwenda uchi ndo utajiona upo club?
 
Mimi nakataa eti huwa hawaolewi....eeehhhhh

Inategemea na muoaji...kama mshamba ataoa mtu kwa mavazi yake...wajanja wana dig deeper kujua tabia ya mtu na si ku simplify kwa kutumia uvaaji...

Watu tulivaa vimini sana disco enzi zetu na my hubby kwa mara ya kwanza aliniona ndani ya mini ya nguvu na aka fall....
 
Kila kitu na wakati wake..blauzi gauni ndio fashion kipindi hiki...

Afu Fixed point hilo si gauni la ofisini kabisa...utachezaje mayenu na hilo gauni? te te te

hivi club ukienda na gauni angalau la urefu kama

au ndefu zaidi, au suruali au pedo hizo bata haziliki?
ni lazima kwenda uchi ndo utajiona upo club?
 
Ndo mana wanawake siku izi hawana utamu wala ule ujotojoto.

Mapaja yote nje, sa unamtongoza wa nini?! labda ndo mana siku izi tgo ndo habari ya mjini.
 
Kila kitu na wakati wake..blauzi gauni ndio fashion kipindi hiki...

Afu Fixed point hilo si gauni la ofisini kabisa...utachezaje mayenu na hilo gauni? te te te
ha haaa, ndo maana nikasema la urefu huo, siyo fashion hiyo......
blauzi gauni ndo mpango mzima, mimi pia navaa, lakini ndo maana kuna tight..... ni kwa ajili ya kuvalia hizo blauzi gauni
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…