Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Mimi nakataa eti huwa hawaolewi....eeehhhhh

Inategemea na muoaji...kama mshamba ataoa mtu kwa mavazi yake...wajanja wana dig deeper kujua tabia ya mtu na si ku simplify kwa kutumia uvaaji...

Watu tulivaa vimini sana disco enzi zetu na my hubby kwa mara ya kwanza aliniona ndani ya mini ya nguvu na aka fall....

Makofi kwako!! Well said...
 
hivi club ukienda na gauni angalau la urefu kama
short-black-dress-for-women_014.jpg

au ndefu zaidi, au suruali au pedo hizo bata haziliki?
ni lazima kwenda uchi ndo utajiona upo club?

Hili litanizonga bwana!! Kinatakiwa kitu kiende juu ili nikiserebuka nisipate shida.
 
Afadhali umesema 'kama'

I like people who are controversial...kuna dada namjua (anatokea Ecuador) nimesoma nae; she is extremely beautiful and always look sexy hata akiwa class/ofisini...sasa kuna kaka wa Kiganda kuna siku akaanza umbea ooohh so and so anaonekana cheap...nikamwambia weeehhh dada ana akili vibaya mno; anajipenda sana tu; Baada ya siku kadhaa huyu kaka akaja mwenyewe kukiri kuwa anamkubali mdada.... na kuwa na miakili haina maana kujiachia mpaka mi mvi ikutembelee...


Nilimpenda kwa hilo kuwa na miakili haina maana ya kuwa mpori pori...

wamevaa kama machangudoa!!
 
Afadhali umesema 'kama'

I like people who are controversial...kuna dada namjua (anatokea Ecuador) nimesoma nae; she is extremely beautiful and always look sexy hata akiwa class/ofisini...sasa kuna kaka wa Kiganda kuna siku akaanza umbea ooohh so and so anaonekana cheap...nikamwambia weeehhh dada ana akili vibaya mno; anajipenda sana tu; Baada ya siku kadhaa huyu kaka akaja mwenyewe kukiri kuwa anamkubali mdada.... na kuwa na miakili haina maana kujiachia mpaka mi mvi ikutembelee...


Nilimpenda kwa hilo kuwa na miakili haina maana ya kuwa mpori pori...

You are right madam, hata ofisini kwetu wapo watu wa namna hii. Lakini tujiulize swali moja, ni watu (hasa wanaume) wanaweza wakawa na nafasi ya kumjua mtu kwa undani mpaka kukubali kwamba mavazi yake hayaakisi tabia yake au thamani yake?

Ukweli ni kwamba ni wachache, first impression matters dada yangu. Personally, binti anayevaa kama huyu siwezi kutambulisha mbele ya ndugu zangu wala rafiki zangu. Sio kwamba am pre-judging them, no, kwangu mimi this is showing too much of what is not supposed to be shown.
 
ni ubinafsi wa hali ya juu kufikiria kwamba ili watu waonekane kimtazamo fulani ni lazima wawe wanafit kwenye picha iliyoko kichwani mwako. mavazi ni factor ya malezi na exposure. unanikumbusha mdada tukiwa sekondari alikuwa anatusakama kwa kuweka nywele dawa na kuvaa sarawili. nilikuja kukutana nae huko nchi za watu, amevaa kushinda wenyeji. nilitamani kumkumbusha ila nikaishia kumhurumia kwa kusupp maisha.

binafsi huwa nasema ofisini. hata siku moja sikosoi mavazi ya mtu. alikotoka ana mama, baba, kaka na dada, mabinamu na hadi mahausigelo. yaani hao wote wasione amevaa vibaya nikaone mie? who the heck freaking am i?!
 
weeh nawe! sasa hapo watu wakikuangalia si unaonekana kama ndio matron wa club? ebooo (in lara 1's voice)
hivi club ukienda na gauni angalau la urefu kama
short-black-dress-for-women_014.jpg

au ndefu zaidi, au suruali au pedo hizo bata haziliki?
ni lazima kwenda uchi ndo utajiona upo club?
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha dada mmoja ameokoka; naye tena anasema wazi suruali zake anaziacha Ulaya...te te te...

Tatizo la kuvaa sababu ya kufurahisha watu fulani hilo....

Huyu dada kuna siku alitinga ofisini kwangu kuongea na ofisi meti wangu wa kiume (PhD office) yeye alikuwa mwanafunzi wa masters alikuwa amevaa gauni fupi hataree afu ana mwili kuliko masogange; I was like what is this; tena amekazana kuinama...nikasema ndio shida ya kuvamia mavazi ukubwani maana ni mke wa mtu tena mlokole...na si mimi nilokuwa namshangaa kuna mwafrika mwingine aliwahi niuliza what was wrong with her...nikayeyusha...

Hajuhi nini cha kuvaa wapi na kwa mwili upi...

Lakini mwenyewe anakiri wazi kuwa akirudi home anarudi kwenye matenge yake (mke wa mchungaji...pretense)



ni ubinafsi wa hali ya juu kufikiria kwamba ili watu waonekane kimtazamo fulani ni lazima wawe wanafit kwenye picha iliyoko kichwani mwako. mavazi ni factor ya malezi na exposure. unanikumbusha mdada tukiwa sekondari alikuwa anatusakama kwa kuweka nywele dawa na kuvaa sarawili. nilikuja kukutana nae huko nchi za watu, amevaa kushinda wenyeji. nilitamani kumkumbusha ila nikaishia kumhurumia kwa kusupp maisha.

binafsi huwa nasema ofisini. hata siku moja sikosoi mavazi ya mtu. alikotoka ana mama, baba, kaka na dada, mabinamu na hadi mahausigelo. yaani hao wote wasione amevaa vibaya nikaone mie? who the heck freaking am i?!
 
"Dress code"! Ndio maana "wanajeshi" wanakataza "raia" kuvaa mavazi ya "kijeshi".
 
Mmh mimi hawa hawanivutii kabisa...huwa nikiwatazama napatwa na hali fulani hivi kama kutapika..sorry..!

Nina kaugonjwa na hawa wanaovaa kama picha niliyoiweka hapa...(..sijui ni ugonjwa..??). Hawa wenzetu bana nawasifu sana, na wa namna hii asilimia kubwa wana tabia na maadili mazuri sana! Tatizo linakuja unapopiga race na hizi imani zetu bana inakuwa tatizo...Hasa ukifikiria kuanza A-- wakati ulizaliwa AAA na ushafika ZZZ. Paja kazioneshee chumbani atiii!!..tena zinakuwa hazijapigwa mijua au kuchubuliwa na mi-chemicals kama hizo hapo! Kitu original...Hongereni mabinti mnaojisitiri namna hii. Kuna kautamu fulani kamejificha kwenye mavazi hayo. Na nikija kukupata lara 1 lazima nikusababishe uwe unatupia kitu kama hicho...hahahaha!!

View attachment 123599
Waanze kutupia vitu hivi sehemu za burudani, sipati picha.
 
weeh nawe! sasa hapo watu wakikuangalia si unaonekana kama ndio matron wa club? ebooo (in lara 1's voice)

Hahaaa matron wa club...dah mim hilo naweza vaa club kama natakiwa kuingia club...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom