Ndio maana nawapenda ma-ustadhaty unakuta mtoto kapiga baibui yake swafii. Yani unaona macho tuu.
Hata mkiongozana unakuwa na amani.
Kuna mgegeduliwaji mmoja huyo alikuja kunitembelea home bwana kavaa kagauni hako kafupi afu ana Bambataa kubwa afu ndan kavaa KIBINI asee nlipata tabu njiani koz watu wa Bodaboda, bajaji, na wakware wengine walikua wanapiga kelele wengine miluzi dahh. Mmoja ndo akasema "mwanangu uyo mto**e kavu " nlijiskiaje aibu manina.