Mavazi ya staha/kujistiri/kishamba yanakubalika na wanaume kuliko wadada tunavozania!!

Mavazi ya staha/kujistiri/kishamba yanakubalika na wanaume kuliko wadada tunavozania!!

ha haaa, usifikiri ukiwa dada mkubwa basi na fashion pembeni, no way mdogo wangu......
na shem ndo anazidi kunifanya niwe fashenista, maana full kukagua umevaa nini.
yaani ukiingia kwa kabati langu ni vigauni tuuuuuuuuu, na jotro la dar ndo usiseme.
na wewe utakapofikia kuwa kama mimi bado uvae hivyo hivyo.
siyo umepata mtoto mmoja tu basi kwisha habari yako, lol!

Yaani vigauni ndo mpango mzima.
Naweza nikaona kitu/nguo nyingine nzuri tu na nisistuke ila nikiona kigauni loh jicho lote kodo na kama niko empty mfukoni yaani roho itaniuma mpaka basi!! Ntatamani hata kesho yake nikirudie . . . LOL!

Hapo blue . . .
Kwakweli dah, inategemea lakini na mahali anapoishi, maisha yake yatakavokuwa!
 
Ila lara 1 umenifurahisha with ur positive attitude. Sijui kwa nini hupati mwanaume serious akuwowe hehehe. Yaaninunajua kujifariji hadi raha. Usijiachie ukasononeka bwana. Maisha mafupi haya. Let me enjoy minis' for as long as they last. Ugua pole
kama umemponda kiaina vile hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa,hapat mwanaume serious wa kumuoa maana yake aliye nao na ambao amekuwa nao wanamchezea tu,cjui kwanini hapat mwanaume wa kumuoa hilo analijua mwenyewe
 
ukivaa nguo fupi kwa wanamme unaonekana kama 'starter', ukivaa nguo ndefu unaonekana kama 'main course and dessert'
unanikumbusha ALCOVE wewe Kongosho wewe kubomolewa hile hoteli kumenipunguzia sana raha ya huu muji kwakweli
 
Last edited by a moderator:
He he he, lako hilo

Hadi utanyooka tu, kisa cha kuturusha roho wakati sie ni nineteen kweusii? Unaleta mambo ya android hapa🙂

Report Abuse inafanya kazi si masikharaa ujue! Umeona ame edit thread yangu na kuutoa u . com wote! Hahahahaaaaa! Nimebakia nacheka tu! MWAKA HUU HATA KWA BAKORA TUTAPELEKWA!!!!!!!! Ukikaidi ni Mikwaju 12 na kuongezewa Bakora 20! LOL! Lazima jamvi litakate hili!
 

Mmmenikumbusha AKINYI wa Kisumu....


page0_blog_entry13294-1poorlydressedpeople17.jpg
 
wanaume tunaweza kuhisi tabia ya mwanamke kama ni malaya au la kutokana na mavazi yake kwanza nikiwa bara akija dada na nguo ya heshima naweza pata hisia za kumuoa kutokana na staha ya nguo zake
ila nikiwa bara akija dada kavaa kimini au nguo isio na staha nitahisi changudoa kaja hata kama ni mzuri naweza kumuoa but ni kicheche tu nitakua nishais hivyo kwa sababu nimempenda kwa kumtamani niko radhi hata kumnunua nikamlaleee
 
mwanamke kujisitiri kuna raha yake bwana.
i prefer much kuvaa nguo za stara kuliko vimino
hasa nikipata kitenge kikashonwa vyema lolz!
kinakutoa sana mwanamke.
cc snowhite mama ya matenge ya nguvu

teeeh...hivi ukiwa na miguu ya kichaga unaweza kuvaa kimini?
 
...vazi lilandane na umbile la mwanadada..huna course work (usafiri) unalazimishia mwonekano wa mwenye usafiri...una tumbo (sio mjamzito) unavaa ya kulikaba...inatakiwa vazi libalance tumbo na kalio lako
 
mimi nikivaa nguo ndefu kila mtu ananambia umependeza, nikivaa fupi hivyohivyo, suluari nazo hivyhivyo, sasa nishaamua kuchnganya navaa zote, ila kwngu mimi napenda nguo fupi na suluari zaidi ya ndefu. ila fupi kama hizo alizoweka Fixed Point tena napenda hivyo vigauni sana.
 
wanaume hawatabiriki kama tai! wengine dera hata hawajigusi...ila ukichenchi ukapiga jeki busta kifuani na vifuta katikati thekthynyonyo...lol macho kodo na huduma A plus...kuna wengine ukapiga dash dash la maana oh maama!
ilame naona age and mahali matters.
 
Na kufikiria Mke kunaanzaga na mavazi kwanza lara 1

Me my #1 wangu tulikutana tukiwa chuo miaka ya nyuma, na hapo madem wote ilikuwa ni full vimini na pedo kasoro mie tu. Cku tulipokuwa out nikamuuliza imekuwaje akafall kwangu mvaa madera ilhali wapo watoto wa mujini wanaojua vimini? jibu alilonipa...............
 
Last edited by a moderator:
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Times have change and are still changing! But some issues just prove to be Time resistant!!!!!!! Stubborn! ........!!!!!

I always thought LESS is SEXY and preffered!!!!!!!!! The more you expose, the more you look sexy and the more they wanna see!!!! Basi nikajua nothing turns on men than bare female sikin, clothes tight hugging the figure, the shorter the skirt the better!!!!!!!! I still believe some that even now! The likes of Gaga, Riri and Twinkering Mistress show skin all the time for some reason! There got to be a reason!!!!!!!!

Sasa kutokana na majangas, japo mguu wa bia bado ninao vimini na short dresses hazivaliki or else nitageuka centre of attention! Umefanyaje? Pole! Mama yangu! Blah blah blah! Imenidi niwe natupia supra za 1960's mwanamke charanga babu eeeh! Mwanamke staha ndani ya dera siju dira, bazee, trouser pana hizi!!!!!!1 Sasa haya mavazi yana codes zake, huwezi tupia dera afu ukawa shankupe shankupe inabidi unapoa kidogo kama maji ya mtungi! Unasalimia, unakuwa na nizamu haswaaa! Charanga yake topu ya mikono mirefu! In short imebidi niwe najifunika gubi gubi kuficha marazi! Mwanzoni nilikuwa napata shida joto hili, afu najistukia watu wataniona hata nina 50yrs kisa miguo tu! Basi sina amani!

Ila i came to realise kuwa hii miguo ndo mpango mzima! More is preferred! Tena wanaume (ningesema wanaume wa maana mnge report abuse! LOL) wanapenda vibaya mnooo swgga hizi! Yaani toka nianze routr za hosipital ndani ya hiziswagga maisha yangu yamekuwa maraisi sanaaa! Kwanza ma Dr wananiwaisha kwenye folleni. Binti pole sanaa! Unaonekana mstaarabu sanaa! Wanakagua vidole, bila bila, sasa ngoja nikusaidie baadae ananiachia namba! Moyoni nasema ama kweli nimejivalia ngozi ya kondoo! Corridor utasikia dada acha nikusaidie pochi hilo, pole sanaa! Nikienda canteen nalipiwa tu bili! Nikisimama nje ya moi pale kungoja dreva ageuke lift zasimama kutaka kunisogeza!!!!!!! Hahahaaaaaaaa! Like seriosly????????? Kubadili mavazi kumenifaa si kidogo! People just treat me like im a different person! I am enjoying every bit of it while it lasts!!!!!!!!

I never knew looks could be deceiving! Hadi bi mkubwa wangu anafurahi na kutaka kunisindikiza! Ndo kusema trend ya ushamba inarudia??????? Ama kweli vimini vyake mcheza shoo! (No offence intended) Yaani mtu waonekana wa maana, mstaarabu! Hadi burudani! Wanaume hamsomeki kabisaaa! Sasa nini kinawavutia kwenye charanga? Kumbe mavazi nayo mnamind?
Duh aisee,Nakumbuka mwaka 2012 pale ubungo kuna mmoja alijifanya ye anapenda nguo fupi sana, sasa kilichomkuta nadhani yule binti hatovaa tena nguo fupi sana, maana ilibidi abebwe kwenye Hiace peke yake hata traffic aliyekua anamsaidia asivuliwe na wahuni mambo yalimshinda.
 
kama umemponda kiaina vile hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa,hapat mwanaume serious wa kumuoa maana yake aliye nao na ambao amekuwa nao wanamchezea tu,cjui kwanini hapat mwanaume wa kumuoa hilo analijua mwenyewe

Hahahaaaaaaaaaa! IM CHOOSY!!!!!!!!!!! Nataka MWANAUME WA NGUVU! LOL! Mimi na kaili zangu ZOMBI naligundua in no time! LOLEST!!!!
 
...kiukweli mamito umenigusa!! unajua kwa binadamu yeyote yule, chukua mfano huu mdogo tu, mtu unakuta kuna vyakula vinauzwa na wauzaji wawili tofauti, mmoja AMEVIFUNIKA vizuri vyakula vyake, na mwingine AMEVIACHA WAZI vyakula vyake huku MAINZI wanachezea na kuondoka...UTANUNUA KIPI kati ya hivyo? kwa hiyo kina dada zetu mnaovaaga mavazi ya nusu uchi jaribuni kubadilika na kuistiri miili yenu kwa kuwa ni ya THAMANI kubwa sana nyie hamjui tu...vilevile nyie ndio sababu baadhi ya wanaume wanakosa nguvu za kiume na kuhatarisha ndoa zao kwa ajili yenu kwa kuwa wanaona sana maungo ya wanawake huko mtaani hadi akifika home anakuwa haoni jipya kwa mkewe..mnajitakia dhambi ndg zangu..TUBADILIKE...ukivaa kwa kujistiri UNAHESHIMIKA SANA na kila mtu na unakuwa huru na mambo yako...need I say more?
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Times have change and are still changing! But some issues just prove to be Time resistant!!!!!!! Stubborn! ........!!!!!

I always thought LESS is SEXY and preffered!!!!!!!!! The more you expose, the more you look sexy and the more they wanna see!!!! Basi nikajua nothing turns on men than bare female sikin, clothes tight hugging the figure, the shorter the skirt the better!!!!!!!! I still believe some that even now! The likes of Gaga, Riri and Twinkering Mistress show skin all the time for some reason! There got to be a reason!!!!!!!!

Sasa kutokana na majangas, japo mguu wa bia bado ninao vimini na short dresses hazivaliki or else nitageuka centre of attention! Umefanyaje? Pole! Mama yangu! Blah blah blah! Imenidi niwe natupia supra za 1960's mwanamke charanga babu eeeh! Mwanamke staha ndani ya dera siju dira, bazee, trouser pana hizi!!!!!!1 Sasa haya mavazi yana codes zake, huwezi tupia dera afu ukawa shankupe shankupe inabidi unapoa kidogo kama maji ya mtungi! Unasalimia, unakuwa na nizamu haswaaa! Charanga yake topu ya mikono mirefu! In short imebidi niwe najifunika gubi gubi kuficha marazi! Mwanzoni nilikuwa napata shida joto hili, afu najistukia watu wataniona hata nina 50yrs kisa miguo tu! Basi sina amani!

Ila i came to realise kuwa hii miguo ndo mpango mzima! More is preferred! Tena wanaume (ningesema wanaume wa maana mnge report abuse! LOL) wanapenda vibaya mnooo swgga hizi! Yaani toka nianze routr za hosipital ndani ya hiziswagga maisha yangu yamekuwa maraisi sanaaa! Kwanza ma Dr wananiwaisha kwenye folleni. Binti pole sanaa! Unaonekana mstaarabu sanaa! Wanakagua vidole, bila bila, sasa ngoja nikusaidie baadae ananiachia namba! Moyoni nasema ama kweli nimejivalia ngozi ya kondoo! Corridor utasikia dada acha nikusaidie pochi hilo, pole sanaa! Nikienda canteen nalipiwa tu bili! Nikisimama nje ya moi pale kungoja dreva ageuke lift zasimama kutaka kunisogeza!!!!!!! Hahahaaaaaaaa! Like seriosly????????? Kubadili mavazi kumenifaa si kidogo! People just treat me like im a different person! I am enjoying every bit of it while it lasts!!!!!!!!

I never knew looks could be deceiving! Hadi bi mkubwa wangu anafurahi na kutaka kunisindikiza! Ndo kusema trend ya ushamba inarudia??????? Ama kweli vimini vyake mcheza shoo! (No offence intended) Yaani mtu waonekana wa maana, mstaarabu! Hadi burudani! Wanaume hamsomeki kabisaaa! Sasa nini kinawavutia kwenye charanga? Kumbe mavazi nayo mnamind?
 
Back
Top Bottom