amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
tupo wengi, lol!
sijawahi letewa zawadi ya nguo ndefu.......
na nikivaa nguo ndefu napata vijembe tangu chumbani...
Ila fupi zangu siyo zile za juu ya magoti.
Dera nilivalishwa kinguvu na rafiki yangu fulani eti aone nakuwaje nikivaa nguo ndefu.
Suruali bomba tu
ngoja nkutoe dada mkubwa kwenye ile sare ya madiraaaa looo ila siku hizi wananunua na kuyakata