Mavazi ya staha/kujistiri/kishamba yanakubalika na wanaume kuliko wadada tunavozania!!

Mavazi ya staha/kujistiri/kishamba yanakubalika na wanaume kuliko wadada tunavozania!!

ha haaaa, naona kuna about-turn ina-take place, lol!
nguo fupi pia zinatupendeza na wanapenda ila siyo zile za juu ya magoti na za kubana. kagauni kako kazuri kamefika magotini au chini kidogo, ka kitenge au cotton fulani bomba sana

Hahahaaaaaaa! Ndo hivo tena mambo ya kuwa Enemy of Change hayatakiwi!!!!!!!! Wenyewe wanasema If the cost of remaining stagnant is higher then its about time to change! LOL!

Nguo fupi banaa ukikaa inakuwa majangaaa ila kwa sie wa mjini ndo utamu wenyewe huo, full kuonesha mistari ya utamu kwenye mapaja! LOL!

Ila kweli zina sehemu yake, na ndefu zina sehemu yake! LOL!

Ila wanaume wanishangaza sanaaa, wakiona mtu katupia kijiguo cha uchokozi full kumkodolea macho, kumpa attention na nini, ila ndani ya charanga ama dera they become different people, they just have this certainty and confidence look in their eyes !!!!!!!!!

Like huyu mlugaluga ndio saizi yangu! LOL! The assume dominating position wakati kwenye vimino they assume subjective position!
 
Ila ki ukweli katika haya mavazi siwi SHOW STOPPER!!!!!!!!! Napata attetion hio, tena kutoka katika kundi la aina flani ya watu wastaarabu, wanaojielewa, na naweza kusema old school!

Ila kimbembe nakipata kwa vijana wenzangu, wazee wa vimino! Naweza jisahau nikaona vidada vimetinga supra za town mambo ya skin jeans na nini, kutokana na mazoea ya dresss codes za zamani nikawavaa tu na kuanza kusocialize, sasa nakuwa sipati ile feedback ya siku zote kama mwanaa yaani! N

Ndo nakumbuka kumbe swagga zimebadilika ndo inabidi sasa nianze mbalii kuearn their respect, kama wakiongea kitu, nakuwa nachangia kwa kufosi ndo kati wananisoma kumbe mwanaa tu huyu nae, sema mavazi ndo vileee! Ndo kuniuliza inakuwaje mavazi, naanza kusema mie mgonjwa kama hivo!
 
lakin ukijaribu kaungalia nguo ndefu huwa inapendeza sana na haimkatai mtu.
angalia suruali huwez kukuta imemchukiza mtu lkn ona pedo kama mtu hana shepu, na mguu yaani ina mchusha mwisho wa matatizo

mmh napata mashaka kwamba suruali huwa inampendeza kila mtu..au sijajua suruali

za aina gani unazoziongelea hapa!!!!!!!!
 
Latifa Rashidi a.k.a lara 1 , mwanamke lazima awe na stahaa ila sio kuvaa kimama saaanaa kuwa kawaidaa
 
Hahahaaaaaaa! Ndo hivo tena mambo ya kuwa Enemy of Change hayatakiwi!!!!!!!! Wenyewe wanasema If the cost of remaining stagnant is higher then its about time to change! LOL!

Nguo fupi banaa ukikaa inakuwa majangaaa ila kwa sie wa mjini ndo utamu wenyewe huo, full kuonesha mistari ya utamu kwenye mapaja! LOL!

Ila kweli zina sehemu yake, na ndefu zina sehemu yake! LOL!

Ila wanaume wanishangaza sanaaa, wakiona mtu katupia kijiguo cha uchokozi full kumkodolea macho, kumpa attention na nini, ila ndani ya charanga ama dera they become different people, they just have this certainty and confidence look in their eyes !!!!!!!!!

Like huyu mlugaluga ndio saizi yangu! LOL! The assume dominating position wakati kwenye vimino they assume subjective position!
ha haaa, kweli umegoma kuwa enemy of change, lol!
kuna nguo fupi ambazo kweli hata ukitembea tu ni majanga, lakini kuna ambazo unakuwa bomba hata ukikaa, humkwazi mtu wala hujishtukii. Ukweli kuna miili (kama mimi nadhani) haipendezi na nguo ndefu, naonaga nguo ndefu inayonipendeza ni suruali tu.
Ila pia siwezi kuvaa nguo ambayo kila nikipiga hatua lazima niishushe chini, na "I am not sure" nazo hazinogi sana, basi ni kasheshe tu
 
Na kufikiria Mke kunaanzaga na mavazi kwanza lara 1
 
Last edited by a moderator:
1380041373595.jpg

1380041390634.jpg

1380041410100.jpg
 
Mmmh!
Sio wote banaa. Mie nguo ndegu hazinipendezi hata paw ananiambia. Lol
tupo wengi, lol!
sijawahi letewa zawadi ya nguo ndefu.......
na nikivaa nguo ndefu napata vijembe tangu chumbani...
Ila fupi zangu siyo zile za juu ya magoti.
Dera nilivalishwa kinguvu na rafiki yangu fulani eti aone nakuwaje nikivaa nguo ndefu.
Suruali bomba tu
 
mmh napata mashaka kwamba suruali huwa inampendeza kila mtu..au sijajua suruali

za aina gani unazoziongelea hapa!!!!!!!!
inawezekena hujaweza kufanya ulinganifu, hebu niambie akna dada wanaovaa pedo na wale wanaovaa suruali wepi wengi wao hutokelezea zaid?
 
Nguo fupi ina raha yake ila nguo ila ikiwa fupi sana ni majanga.........utakuwa uncomfortable..

me i like wearing skirt zile fupi Maxi skirt hapo huwa naona nimeutendea haki mwili wangu..

But the thing with men anaweza kukwambia sipendi uvae nguo hizi lakin they wont stop staring to those woman

in SHORT SEXY DRESSES!!!!!huwa sielewagi kabisa
 
Walahi sijui hata nisemeje kuhusu hii thread!

Kwa kifupi naomba galz muichukulie hii mada kuwa ni ya kweli kama ilivoandikwa na Bi Lara moko. Bibie ktk thread zako sio siri hapa umenikuna na umeongea yaliyo halisi kbs. Nimeipenda sana aisee. I'm almost speechless!
High 5 to you gal.
 
tupo wengi, lol!
sijawahi letewa zawadi ya nguo ndefu.......
na nikivaa nguo ndefu napata vijembe tangu chumbani...
Ila fupi zangu siyo zile za juu ya magoti.
Dera nilivalishwa kinguvu na rafiki yangu fulani eti aone nakuwaje nikivaa nguo ndefu.
Suruali bomba tu

ndo maana lulu alisema......


nikivwaa nguo ndefu nawashwa!!!
 
wengine dira,buibui,dera,deraa,dishdash,mini penseli,skinjeans,skintight {pedo nimeacha kuvaa sijui ndo ukubwa} khanga gauni refu iliyoshonwa,kitenge daaah twende tu daaah ila nguo iwe ndefu and stylish unanogaaa afu uwe unakalook kale cha innocent mweee muulize
cc iwafikie Mtambuzi Kipaji Halisi Kaizer Paloma Madame B
 
Last edited by a moderator:
inawezekena hujaweza kufanya ulinganifu, hebu niambie akna dada wanaovaa pedo na wale wanaovaa suruali wepi wengi wao hutokelezea zaid?

sa hivi nitafatilia lakin sio kila mtu akivaa suruali anaapendeza otherwise tukifanya comparison

na uvaaji wa Pedo hapo sawa.......maana kuna mtu mwingine hajaujulia mwili wake lakin huyo yumo kwenye

masuruali huwezi kuniambia nae atakuwa miongoni mwa 'suruali inampendeza kila mtu'
 
RGforever mke waweza kum-mold wewe.
kama unapenda nguo zenye sitara na zinazopendeza basi ujue unatakiwa wewe ndio uanze kumvesha hizo.

siku hizi waume mnaharibu wake zenu wenyewe unakuta siku ya send off sanduku la bi harusi lnaletwa na vijisuti vimini, vigauni vibajaji, na kama suruali zile skin sasa unategemea nini??
kama wataka mke avae kwa sitara lazima kwanza hata siku ya kuoa uhakikishe sanduku lake linajaa nguo za stara nzuri zenye kumpendeza manake si mkeo huyo??
 
Last edited by a moderator:
Kwanza pole sana,ugua pole.
Back to topic.
naamini hivi:-
Sisi wanaume tunapenda wasichana wazuri wa aina zote.
LAKINI
1.wavaa vimini na kisasa zaidi wanaume walio wengi wanawaona siyo wife matereal and they condemn on search worn clothes.KWA MANTIKI HIYO WENGI WA WANAUME WATAKUONA HAUNA MAADILI hata kama unayo na mavazi yatakuwa yamekuharibia na kwa mwanaume anaetafuta wa kuoa, wewe uvae vimini utakuwa second plan kama mpo wawili under target mkiwa na sifa nyingi zinarandana,ALAFU vitu kama upole,unyenyekevu,heshima,nidhamu,tabia njema ZINAENDANA SANA NA MAVAZI YA 1960s(mavazi ya heshima),lakini uhuni,umalaya,ukahaba,ukorofi unaendana sana na haya mavazi ya VIMINI NK.
2.baadhi ya wanaume wanaweza kuwaoa hata wavaa vimini lakini hawapendi mavazi hayo,ndio mana wanawake wanalazimika kubadili mavazi wakishaolewa ili wasiwauzi waume zao
 
Back
Top Bottom