Mavazi ya Suzzy mtangazaji wa E-news (EATV) naona hayana maadili

Mavazi ya Suzzy mtangazaji wa E-news (EATV) naona hayana maadili

Jamaa amesababisha jana niangalie stesheni hii mbona hayo mapaja ya Suzzy sijayaona.siku nyingine usilete uzi wa namna hii bila picha.usiandike vitu kimbea
 
Huyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavaz ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?

Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?

Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.
Picha Tafadhali.
 
Jamaa amesababisha jana niangalie stesheni hii mbona hayo mapaja ya Suzzy sijayaona.siku nyingine usilete uzi wa namna hii bila picha.usiandike vitu kimbea

Sio mapaja tumbo lipo nje
 

tazama hapa watabiri wa hewa wa mataifa ya wenzetu sio hapa bongo


Sio utamaduni wetu mkuu ndo mana chura ya snura ilifungiwa lakin wimbo wa ACE HOOD- MY SPEAKER kwa upo fresh tu au anaconda ya nick minaj poa tu
 
33ddaed26be2f845617860d464c5bf0b.jpg
719477e85d5e725973874daaf67cef1a.jpg
4d8949f56b3de0ed90244d5c4ca7fb25.jpg
b74666298cb49d44fc411ac7ff2bdd39.jpg
c1773e33c69aca42c27f95ae65c77abb.jpg

Haya picha hizo
 
Huwa hata kwangu mimi kananikera sana kanataka kuonesha fangasi zake kwenye kioo, Kawe kanavaa vizuri sio kuwa na tumbo kubwa na makalio meusi ndiyo iwe chanzo cha kuvaa VYUPI.

JINGA SANA
 
Huyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavaz ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?

Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?

Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.

99.99% yao hutumia hivyo Vipindi vyao kama platform ya kujitangaza kwa Wanaume na ' Kujiuza ' Kwao. Ukitaka kuliamini hili nakupa assignment ndogo tu anza kuwafuatilia wale Watangazaji wote wa Kike hasa wa tv za ' Kibongo ' kisha utajua sasa wapo wapi au maisha yao yamekuwaje au wamekumbwa na nini either positive or negative. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Huwa hata kwangu mimi kananikera sana kanataka kuonesha fangasi zake kwenye kioo, Kawe kanavaa vizuri sio kuwa na tumbo kubwa na makalio meusi ndiyo iwe chanzo cha kuvaa VYUPI.

JINGA SANA

Kanishangaza sana jana aiseee
 
Huyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavaz ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?

Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?

Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.
alafu ana umbo limekomaa kweli yani anajitahidi kujiremba lakini hata tako halichezi
 
Back
Top Bottom