Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha Tafadhali.Huyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavaz ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?
Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?
Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.
picha wapiSio mapaja tumbo lipo nje
Huyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavaz ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?
Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?
Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.
alafu ana umbo limekomaa kweli yani anajitahidi kujiremba lakini hata tako halicheziHuyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavaz ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?
Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?
Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.