Furu Mikoba
Member
- Apr 27, 2017
- 70
- 96
naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k
yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?
haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..
tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k
yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?
haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..
tunaenda wapi jamani na fashion hizi?