Mavazi ya wanaume vimodo na jeans za matobo, tunaenda wapi?

Mavazi ya wanaume vimodo na jeans za matobo, tunaenda wapi?

Furu Mikoba

Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
70
Reaction score
96
naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k

yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?

haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..

tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
 
Hili ni tatizo la tbs (quality control) na viunga vyake pia. Kiukweli huwezi ukajiweka kundi la watu makini , mtu makini unaejua kwanini uko gender uliyoko, una umri wa kutwisha mimba ni mwanaume kutoka kati ya makabila 128 yatz ambao mimi na wewe tunajuana desturi, tena zaidi Mtanzania ambae historia ya Nguo za mtumba ndo zimekufikisha umri huo kabla ya mlipuko wa nguo hizi ZWAZWA zilizoletwa na HASA wadau kutoka ASIA ukawa mfuasi wa nguo hizi ambazo hazina wered kabisa , si mama,binti,mtoto wala mwana mitindo woote utakuta wako kundi moja la kifikra...nchi km Thailand,Usa, mitumba yao ni dhahili itakuonyesha hualisia wa vazi la mtu makin ni ipi?. Ila mim naamin wanawake kwa namna yoyote utatafsiri wewe msomaji ni CHANZO HASI cha kuhubiri mavazi haya...au kushawishi wavae wenzao hivyo....hata hivyo kule kwetu ndani kabisa kijini ambapo juz tu ndo wazo la kujenga barabara ya kijiji imewekwa kwenye agenda ya TARURA kuna msemo wa kiluga unasema hivi. "Khagalabula amutao gaige amwitizo"

}|~[emoji813]
 
upload_2017-8-12_10-25-30.jpeg
upload_2017-8-12_10-25-30.jpeg
 
Acha kutujumuisha wanaume wote, hao ni wanaume wa Dar Es Salam....




Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Hao wa DAR mkuu, wanadai eti ni fashoon ( in Deokitama's voice) Mkuu wao
 
Back
Top Bottom