Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijui tunaenda wapi, labda muulizen Platnums na wenzake maana ndiye aliyeanzisha hii fasheninaenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k
yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?
haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..
tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
Aahaha kwa hio uani bustani hamna???Ni
napenda jeans tena hizi slim tight zinatutendea haki sisi wenye flat screens.
Tuna balcon.Aahaha kwa hio uani bustani hamna???
Ahahahha, nyumba bila bustani itakuwaje sasa..mvuto utakuwepo kweli?Tuna balcon.
Hahahaaaaa!! Watuwache kwakweli maana hali ni tete.
Hahahaaaa!! Sasa wa hivyo ukute na mapaja kajaaliwa! Uwiiii aibu naona mimi.Hawana hata haya, unakutana na mwanaume njiani kavaa modo inambanaa mtumbo_mkitambia huo mtisheti na wenyewe unambana basi yuko km pipaa fyuuu
Mvuto uko receptionAhahahha, nyumba bila bustani itakuwaje sasa..mvuto utakuwepo kweli?
Ndio hivoHahahaaaaa!! Watuwache kwakweli maana hali ni tete.
Yes Madam, Eclat.Mnawaharibu watoto wa wenzenu kwa kutumia neno model, zipu ya suruali ya mwanaume shurti iwe nchi sita bwana.
Wanaume wengi wanatamani wawe kama wanawake na vice versa
...hii pia inawahusu wavaa vijisuruali vya njano..red etc.Mtoto wa kiume unavaa viungo vya rangirangi kama xmas tree tena vinabana utafikiri unakimbizwa!
Sent using Jamii Forums mobile app