Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du ni hatari sana aiseee
du ni hatari sana aiseee
ule ni ushenz sana nawashaur ata madem wenye kujielewa wakitongozwa na wanaume waliovaa jnsi imechanwa chanwa msiwakubali aiseee mana ni sawa umetongozwa na dem mwenzakonaenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k
yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?
haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..
tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
Huwezi lazimisha mawazo yako kwa jamii, Kama utamaduni tembea na nguo za miti,naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k
yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?
haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..
tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28] aisee.!!Mnawaharibu watoto wa wenzenu kwa kutumia neno model, zipu ya suruali ya mwanaume shurti iwe nchi sita bwana.
Duuuh.!! [emoji50]
naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k
yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?
haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..
tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
Wanaovaa hivyo ukamilifu wao ni wa kubipu na ukifuatilia sana utakuta ndio kile kizazi cha chipsi na ice creamNi aibu sana kwa mwanaume aliekamilika kuvaa namna hiyo.
Hahika.Wanaovaa hivyo ukamilifu wao ni wa kubipu na ukifuatilia sana utakuta ndio kile kizazi cha chipsi na ice cream
Hii biashara ya kuvaa ux.enge ndio siiwezi, kwangu mweno wa cadet na dessert boots tu. Jeans sikumbuki hata mara ya mwisho kununua ilikuwa lini
napenda jeans tena hizi slim tight zinatutendea haki sisi wenye flat screens.Hii biashara ya kuvaa ux.enge ndio siiwezi, kwangu mweno wa cadet na dessert boots tu. Jeans sikumbuki hata mara ya mwisho kununua ilikuwa lini
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu usiogope we sema tu wanaume wa dar kwani nani hajui mambo yao.
Sent using Jamii Forums mobile app