Mavazi ya wanaume vimodo na jeans za matobo, tunaenda wapi?

Mavazi ya wanaume vimodo na jeans za matobo, tunaenda wapi?

Screenshot_20170813-091805.png
 
naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k

yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?

haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..

tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
ule ni ushenz sana nawashaur ata madem wenye kujielewa wakitongozwa na wanaume waliovaa jnsi imechanwa chanwa msiwakubali aiseee mana ni sawa umetongozwa na dem mwenzako
 
naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k

yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?

haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..

tunaenda wapi jamani na fashion hizi?
Huwezi lazimisha mawazo yako kwa jamii, Kama utamaduni tembea na nguo za miti,
 
Wanaume wa zamani(Wahenga) tuna mipododo ya haja kwahiyo hatuwezi kuvaa visuruali vya kubana maana mashine haitaenea tofaut na vijana wa siku hizi vibamia ndio maana wanavaa vimodo!

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
naenda moja kwa moja kwenye point...
hivi kama wanaume tumefikia mahala kuvaa suruali/jeans za kubana hadi ifikie..
1 -kuipandisha hadi kiunoni si chini ya dk 5 na kuchomekea vest na shati dk 5
2 -kuivua lazma ukae uivute taratibu hatua kwa hatua
3 -kuchuchumaa haifai
4 -kuikunja unawe miguu haifai
5 -kuvuka mtaro haiwezekani
6 -n.k

yani imefika mahali tukiingia chumbani na madem wetu tunapokezana kuvutana suruali saa ya kuvua, zamani ilikuwa sisi ndo tunawavuta wao jeans zao show ianze sasa na wao wakitusapoti kuvuta jeans wakati wa kuvua inakuaje wadau?

haya, sisemei zile jeans fashion mpya zilizochanwachanwa mapajani..utakuja kijana wa kiume paja leupe lina vinyoya flani vile ukiangalia haraka utasema za mdada wa kiarabu eti na yeye kavaa jeans imeraruliwa mapajana matundu 6 kila upande..

tunaenda wapi jamani na fashion hizi?


Wanaume wa Dar si wanaum wa kuwachukulia mfano, wengi wao ni tata tu kama kina Idrissa, Martin Kadinda, Diamond, Ali Kiba, na vijana wengine wasiojitambua.
 
Its a shame for a man to dress like that,,,,,,,,,,
 
Hayo ndio yanawafanya wauza dawa za nguvu za kiume wawepo bado mjini wakati mwezi wa saba umeshapita maana hizi nguo zinavyobana ni lazima joto liwe kubwa sana huko chini kitu ambacho kinapunguza uzalishwaji wa sperm sasa hawa vijana wanadhani ndio usasa kumbe ni hatari kwa ustawi wa jamii ujinga ni mzigo sana ndio maana Baba wa taifa aliuweka kama adui
 
Ni
Hii biashara ya kuvaa ux.enge ndio siiwezi, kwangu mweno wa cadet na dessert boots tu. Jeans sikumbuki hata mara ya mwisho kununua ilikuwa lini
napenda jeans tena hizi slim tight zinatutendea haki sisi wenye flat screens.
 
Back
Top Bottom