ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Huu wimbo mpya ws rich mavoko ni copy and paste ya wimbo wa show me by harmonizd. Sasa sijaelewa ni bifu au ni kwamba ameishiwa melody na mashsiri. Inasikitisha wakati mwingine mabit na mamelody ya wcboo yanafanana tabuuu tupu