Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hater namba mojaalikua anatunga zamani kabla hajasajiliwa huko aliko sasa.
Kwani huko aliko sajiliwa sasa ndio wanamtungia hizi za sasa hivi?alikua anatunga zamani kabla hajasajiliwa huko aliko sasa.
Mmh je pale mwisho alipo imbaMavoko hadi leo hajatunga wimbo ulionishika kama Silali.
Ule ndio wimbo wangu bora kabisa wa Mavoko, utunzi na uandishi murua kabisa ambao kila niusikilizapo lazima nitikise kichwa na kukubali...naam hapa kijana alituliza akili.
Kidoooogo labda Pacha wangu na Ibaki story, hii kokoro ya sasa kapotoka.
Sio Mavoko yule niliyemkubali.
Katiba inakuruhusuMavoko hadi leo hajatunga wimbo ulionishika kama Silali.
Ule ndio wimbo wangu bora kabisa wa Mavoko, utunzi na uandishi murua kabisa ambao kila niusikilizapo lazima nitikise kichwa na kukubali...naam hapa kijana alituliza akili.
Kidoooogo labda Pacha wangu na Ibaki story, hii kokoro ya sasa kapotoka.
Sio Mavoko yule niliyemkubali.
inawezekana maana mavoko wa zamani si wasasa zamani alikua haimbi nyimbo zenye ujumbe wa ajabu sijui makokoroKwani huko aliko sajiliwa sasa ndio wanamtungia hizi za sasa hivi?
Ni kweli unachosema na zamani mavoko alikuwa anaimba mapenzi lakini yenye hisia kali sana, ila sehemu aliyopo sasa wanafanya biashara hivo wanajali kile kinachohitajika sana sokoni kuliko ujumbe, alipo sasa wao wanaangalia cha kwanza kabisa lazima nyimbo iwe na mahadhi kidgo ya kinaija, beat hadi videos. ila kwakuwa lengo ni kufanikiwa kwa msanii basi hakuna kibaya kwani ata kipindi akiimba nyimbo zenye ujumbe nia yake ilikuwa afanikiwe basi leo haijarishi atafanikiwa kwa aina gani ya nyimbo ni vizuri afikie lengo.inawezekana maana mavoko wa zamani si wasasa zamani alikua haimbi nyimbo zenye ujumbe wa ajabu sijui makokoro
Hata ungekuwa mzuri ungesema mbaya kwa kuwa ni wa timu ileMavoko hadi leo hajatunga wimbo ulionishika kama Silali.
Ule ndio wimbo wangu bora kabisa wa Mavoko, utunzi na uandishi murua kabisa ambao kila niusikilizapo lazima nitikise kichwa na kukubali...naam hapa kijana alituliza akili.
Kidoooogo labda Pacha wangu na Ibaki story, hii kokoro ya sasa kapotoka.
Sio Mavoko yule niliyemkubali.
unakachuki hatarialikua anatunga zamani kabla hajasajiliwa huko aliko sasa.
Kwa taarifa yako kokoro ndo nyimbo ya mafanikio kwa rich mavoko hadi sasaKokoro is the worst song of the year.
Kuanzia video, beat na mbaya zaidi kumuweka Diamond humo ndo umekuwa mbaya kabisa.
Nimekwambia wimbo ni mbaya na sio kwamba hana mafanikio au la.Kwa taarifa yako kokoro ndo nyimbo ya mafanikio kwa rich mavoko hadi sasa
Ameanza kupata simu za interviews Ghana na Nigeria
Sasahivi anajinoa na English
Mavoko sasahivi dhamani yake imepanda mara dufu all the way up