Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
21 October 2020
Chato, Geita
Tanzania
Mawakala wa Chato, mkoani Geita watoa tamko, hatujaapishwa
Mkoa wa Geita upo Magharibi mwa Tanzania na Chato ndiyo nyumbani kwa mgombea nafasi ya urais 2020 John Pombe Joseph Magufuli ambaye anawania nafasi hiyo kupitia chama cha CCM.
Source: Swahili Villa
Amefanyaje mkuuNipo chato..
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la chato umefanya ujinga mkubwa sana ambao haujawai kutokea tangu Dunia inaumbwa
21 October 2020
Chato, Geita
Tanzania
Mawakala wa Chato, mkoani Geita watoa tamko, hatujaapishwa
Mkoa wa Geita upo Magharibi mwa Tanzania na Chato ndiyo nyumbani kwa mgombea nafasi ya urais 2020 John Pombe Joseph Magufuli ambaye anawania nafasi hiyo kupitia chama cha CCM.
Source: Swahili Villa
Fanyeni kama Songwe. Watu nyomi ya mawakala wa Chadema Jimbo zima imeandamana kwenda nyumbani kwa mkurugenzi. Siyo ofisini, nyumbani. Walipofika tu akaona hizi sura siyo. Akaanza kuwaapisha. Chezea nguvu ya umma wewe!!Nipo chato..
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la chato umefanya ujinga mkubwa sana ambao haujawai kutokea tangu Dunia inaumbwa
Tusubiri muda uliongezwa uishe ili tuwe na haki ya kuendelea na Plan B.Haya mambo ya kulalamika lalamika bila kuchukua hatua yafikie mwisho. Mbona sehemu nyingine huko wamechukua hatua madhubuti na wakaapishwa?
Tuiishi kauli ya "SASA BHASI, INATOSHA"
Amefanyaje mkuu
21 October 2020
Chato, Geita
Tanzania
Mawakala wa Chato, mkoani Geita watoa tamko, hatujaapishwa
Mkoa wa Geita upo Magharibi mwa Tanzania na Chato ndiyo nyumbani kwa mgombea nafasi ya urais 2020 John Pombe Joseph Magufuli ambaye anawania nafasi hiyo kupitia chama cha CCM.
Source: Swahili Villa
Nilikwambia wamefanya vizuri kumfanyia kampeni Mbowe, kwa kuwa wananchi wemekengeuka. Ukajibu sijui kita, sawa.CCM ni chama dhaifu sana
Fanyeni kama Songwe. Watu nyomi ya mawakala wa Chadema Jimbo zima imeandamana kwenda nyumbani kwa mkurugenzi. Siyo ofisini, nyumbani. Walipofika tu akaona hizi sura siyo. Akaanza kuwaapisha. Chezea nguvu ya umma wewe!!
hueleweki weweNilikwambia wamefanya vizuri kumfanyia kampeni Mbowe, kwa kuwa wananchi wemekengeuka. Ukajibu sijui kita, sawa.
Leo Kilimanjaro imeongea na kama unatoka Kilimanjaro kuna ujumbe mzito umebebwa na mapokezi leo, wasiliana na contacts zako ujitoshe.
Sawa kiongozi tumekuelewa. Lkn hilo Mahera amesema ameongeza siku 2 mpk tarehe 23/10/2020. Kwahiyo makamanda nendeni nyumbani tu.
hueleweki wewe
Nilikwambia wamefanya vizuri kumfanyia kampeni Mbowe, kwa kuwa wananchi wemekengeuka. Ukajibu sijui kita, sawa.
Leo Kilimanjaro imeongea na kama unatoka Kilimanjaro kuna ujumbe mzito umebebwa na mapokezi leo, wasiliana na contacts zako ujitoshe.