Uchaguzi 2020 Mawakala wa CHADEMA Chato waeleza kuwa hawajaapishwa

Uchaguzi 2020 Mawakala wa CHADEMA Chato waeleza kuwa hawajaapishwa

21 Oct 2020
Tanga, Tanzania

Bila mawakala wetu, hapatakuwa na uchaguzi - Lissu



Mgombea urais wa Tanzania 2020 kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, amesema chama chake hakitakubali kuona kuwa mawakala wake hawaapishwi na wasimamizi wa uchaguzi.
 
21 October 2020
Vuga, Unguja
Zanzibar

Maalim Seif akutana na mawakala wa Unguja, awaambia uchaguzi wa mara hii ni wa ukombozi



Mgombea urais wa Zanzibar 2020 kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana hivi leo na mawakala wote wa kisiwa cha Unguja na amewakumbusha kwamba uchaguzi wa mara hii ni wa kutetea mamlaka na ukombozi wa Zanzibar kwa ajili ya vizazi vyao.
 
21 October 2020
Arusha, Tanzania

Mchakato wa uchaguzi uwe Huru na wa Haki mawakala wasisitiza​


KINACHOENDELEA ARUSHA KUHUSU KUAPISHWA MAWAKALA WA VYAMA / CHADEMA WANZA MAPEMA / CCM WAMEAMBIWA WAENDE NYUMBANI WAREJEE SAA 7 MCHANA

 
Mvurugaji mkuu wa uchaguzi huu ni tume ya taifa ya uchaguzi kupitia wakurugenzi wa halmashauri.Na hata hao mawakala wakiapishwa Siku ya uchaguzi hataruhusiwa kuingia vituo vya kupiga kura, wengine watatekwa njiani.Ccm ni maharamia
 
Madudu mengi yanazidi kuanikwa hadharani yaliyofanywa na wasimamizi wa uchaguzi majimboni kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa haki.
Wakati huo viongozi wa dini wanakazania amani amani huku wakisahau haki.Adui mkubwa wa kuhubiri haki ni viongozi wetu wa dini.
 
21 October 2020
Chato, Geita
Tanzania

Mawakala wa Chato, mkoani Geita watoa tamko, hatujaapishwa





Mkoa wa Geita upo Magharibi mwa Tanzania na Chato ndiyo nyumbani kwa mgombea nafasi ya urais 2020 John Pombe Joseph Magufuli ambaye anawania nafasi hiyo kupitia chama cha CCM.

Source: Swahili Villa

Ukurupukaji ni ugonjwa. Umewasikiliza nec suala la mawakala?
 
21 Oct 2020
Tanga, Tanzania

Bila mawakala wetu, hapatakuwa na uchaguzi - Lissu



Mgombea urais wa Tanzania 2020 kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, amesema chama chake hakitakubali kuona kuwa mawakala wake hawaapishwi na wasimamizi wa uchaguzi.

Hivi hao wakurugenzi wa majiji na manispaa walipewa seminar kuhusu uchaguzi kuhusu mawakala? Ni aibu Sana...wakurugenzi ni waharibifu wakubwa sana wa mchakato wa uchaguzi.
 
Haya mambo ya kulalamika lalamika bila kuchukua hatua yafikie mwisho. Mbona sehemu nyingine huko wamechukua hatua madhubuti na wakaapishwa?
Tuiishi kauli ya "SASA BHASI, INATOSHA"
Mkuu, ungefafanua. Wamechukua hatua gani?
 
Fanyeni kama Songwe. Watu nyomi ya mawakala wa Chadema Jimbo zima imeandamana kwenda nyumbani kwa mkurugenzi. Siyo ofisini, nyumbani. Walipofika tu akaona hizi sura siyo. Akaanza kuwaapisha. Chezea nguvu ya umma wewe!!
Hapo sawa!
 
Nec ni wahuni tu wameshindwa kuwasimamia wakurugenzi wa halmashauri wanafanya uhuni tu vituoni
Sina upande wwte kwny siasa hz, lakin kuna kitu kinaniambia kuwa chadema wakipewa madaraka hali inaweza kuwa mbya zaid na pia yalotokea libya kwa gadaffi ndo yanaweza kutokea Tanzania kwa magufuli. Huyu rais wetu ana mapungufu na yupo kwny chama cheny miziz ya matatzo but naamin kumpata kiongoz mzalendo calibre ya magufuli kwny kizaz hiki itatuchukua mda sana
 
Kwa mtu mweny upeo atagundua kuwa attitude alonayo lissu na magufuli haztofautian sana. Wote wana hali flan ya udikteta na kiburi, mda mwngn inasaidia lkn mara nying inabomoa. Attitude ya magufuli kpnd cha korona iliitajika sana ili maisha yaende. Uncle magufuli una udhaifu mwing but cwez ona haya kukusifu kwa mambo makubwa uloyafabya kwny you nchi ambyo marais weng hawakufanya....
 
Hivi hao wakurugenzi wa majiji na manispaa walipewa seminar kuhusu uchaguzi kuhusu mawakala? Ni aibu Sana...wakurugenzi ni waharibifu wakubwa sana wa mchakato wa uchaguzi.
Kwa mtu mweny upeo atagundua kuwa attitude alonayo lissu na magufuli haztofautian sana. Wote wana hali flan ya udikteta na kiburi, mda mwngn inasaidia lkn mara nying inabomoa. Attitude ya magufuli kpnd cha korona iliitajika sana ili maisha yaende. Uncle magufuli una udhaifu mwing but cwez ona haya kukusifu kwa mambo makubwa uloyafabya kwny you nchi ambyo marais weng hawakufanya....
 
Hapa kwenye wakala ndo tegemeo la mwisho la ccm, Safari hii wananchi wafanye maamuzi magumu ya kuwalazimisha mawakala watende haki
 
Mahera na siro watende haki huyo mtu wanaempinania ashukuraniki ndo ataanza nao kuwashughulikia akirudi atatumbua karibu robo tatu ya watendaji wake tupo hapa, unampigania nini mtu anaekuja kukutumbua
 
Mkuu, ungefafanua. Wamechukua hatua gani?
Huko Songwe Mbeya kundi la watu wasiopungia 1000 wamemfuata msaidizi mpaka nyumbani kwake, alipopata taarifa anafuatwa na wananchi mwenyewe alitoka na kwenda kuwaapisha.
Ngoja niitafute video yake niilete hapa maana nilishaifuta
 
Huko Songwe Mbeya kundi la watu wasiopungia 1000 wamemfuata msaidizi mpaka nyumbani kwake, alipopata taarifa anafuatwa na wananchi mwenyewe alitoka na kwenda kuwaapisha.
Ngoja niitafute video yake niilete hapa maana nilishaifuta
Dah.. safi Sana. Tuwekee hiyo clip ukiipata pls
 
Utaratibu wote wa mchakato mzima ni lzm tume ishirikiane na vyama vyote namna ya kuandalaa mazingira ya haki
 
Mkurugenzi yeyeto akigoma kumuapisha mgombea yeyeto wananchi mfateni nyumbani kwake hakuna kutoka kwake mpaka arudi ofisini akawaapishe mawakala wenu, waache uhuni amani yetu ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom