Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap.. familia yake ikiwekewa shinikizo zito sana na umma, na nyumbani kwake pakageuka uwanja wa mapambano, lzm mkurugenzi alainike mapema sanaMkurugenzi yeyeto akigoma kumuapisha mgombea yeyeto wananchi mfateni nyumbani kwake hakuna kutoka kwake mpaka arudi ofisini akawaapishe mawakala wenu, waache uhuni amani yetu ni muhimu sana
Watu wanaongelea mawakala kutokutendewa haki wewe unaongelea vitu vya ajabu ajabu,umevuta cha watu mkuu mbona unatoka kwenye reli kabisaaa!!Kwa mtu mweny upeo atagundua kuwa attitude alonayo lissu na magufuli haztofautian sana. Wote wana hali flan ya udikteta na kiburi, mda mwngn inasaidia lkn mara nying inabomoa. Attitude ya magufuli kpnd cha korona iliitajika sana ili maisha yaende. Uncle magufuli una udhaifu mwing but cwez ona haya kukusifu kwa mambo makubwa uloyafabya kwny you nchi ambyo marais weng hawakufanya....
Upande wako umeshauonesha upo kwa huyo unayemuita mzalendo,kwahyo usitupangie cha kufanya!Sina upande wwte kwny siasa hz, lakin kuna kitu kinaniambia kuwa chadema wakipewa madaraka hali inaweza kuwa mbya zaid na pia yalotokea libya kwa gadaffi ndo yanaweza kutokea Tanzania kwa magufuli. Huyu rais wetu ana mapungufu na yupo kwny chama cheny miziz ya matatzo but naamin kumpata kiongoz mzalendo calibre ya magufuli kwny kizaz hiki itatuchukua mda sana
Hao makada ni kudili nao kihuni tukiwachekea watakuwa ndo chanzo cha Vita nchini ni heri kuwadhiti wao ili amani isipoteeYap.. familia yake ikiwekewa shinikizo zito sana na umma, na nyumbani kwake pakageuka uwanja wa mapambano, lzm mkurugenzi alainike mapema sana
Wasipohapishwa waandamane wakalale kwa mkurugenzi mpaka arudi kuwaapisha atutaki uhuni utakaotuletea Vita mwaka huuSawa kiongozi tumekuelewa. Lkn hilo Mahera amesema ameongeza siku 2 mpk tarehe 23/10/2020. Kwahiyo makamanda nendeni nyumbani tu.
Mkuu nimekuwekea short video ya ilivyokuwa baada ya msimamizi wa kituo alizingua umati ukamfuata mpaka kwake. Hii ndio MbeyaDah.. safi Sana. Tuwekee hiyo clip ukiipata pls
Mbeya hili wameshaanza kulitekeleza. Inatosha & sasa bhassssWananchi pigeni kambi nyumbani kwa wasimamizi wa uchaguzi. Hao ndio shiiiidaaaa!!! Kuapishwa mawakala piga kambi, baada ya kupiga kura piga kambi hukohuko kwa mara DED, kutangaza matokeo piga kambi, na hakikisha mnalinda usalama wa familia yake. Akichezea kura zenu chezea familia! Ngoma droooo!
Huyu mzee anaendelea chief rafu zinachezwa huku chini, mawakala wa ccm wamepewa maelekezo tofauti na wapinzani sasa sijajua lengo lao niniHuyu jamaa akitawala tena miaka 5 tutalimia ulimi badala ya meno tuliolimia miaka 5 iliyopita.
Halafu kama tutaruhusu atawale tena miaka 5 atabomoa ndoa zetu badala ya nyumba zetu. Maana hali itakuwa ngumu balaa. Hela yote anaipeeleka kwenye reli.
Mkuu jaribu kuwatia pressure na wengine wakomae vinginevyo itakula kwetu.Hata mm nimemkwida mkurugenzi. Mpk OCD alipofika alikuwa anahema kama kuku anayeumwa mdondo. Nyambafu!
Akashauriwa aapishe mawakala wangu 6 aliyokuwa anawafanyia figisu.
Tuacheni uwoga watanzania. Lisu anachechema lkn ujasiri 100% wewe uko kamili na viungo vyote ujasiri 0%
Plan B ni kuchoma nyumba yake baasi kama noma na iwe noma.Tusubiri muda uliongezwa uishe ili tuwe na haki ya kuendelea na Plan B.
21 October 2020
Chato, Geita
Tanzania
Mawakala wa Chato, mkoani Geita watoa tamko, hatujaapishwa
Mkoa wa Geita upo Magharibi mwa Tanzania na Chato ndiyo nyumbani kwa mgombea nafasi ya urais 2020 John Pombe Joseph Magufuli ambaye anawania nafasi hiyo kupitia chama cha CCM.
Source: Swahili Villa
Dah... Asante Sana mkuu. Kumbe wananchi wa Songwe siyo wa mchezo mchezo. Kwa nyomi hilo la binadamu lzm alainike, atake asitakeMkuu nimekuwekea short video ya ilivyokuwa baada ya msimamizi wa kituo alizingua umati ukamfuata mpaka kwake. Hii ndio Mbeya
Pia kamateni mke ama mume wake "aliwe kiboga" na vijana wenye nguvuPlan B ni kuchoma nyumba yake baasi kama noma na iwe noma.
Daah! Ngoja nizitafute hizo rafu halafu nimjuze Amsterdam.Huyu mzee anaendelea chief rafu zinachezwa huku chini, mawakala wa ccm wamepewa maelekezo tofauti na wapinzani sasa sijajua lengo lao nini
Hawa wahuni wachache wakiachiwa hivyi hivi ndo watavuruga amani yetu ni kuwazingira nyumba zao wachague moja kutenda haki au ama zao.Plan B ni kuchoma nyumba yake baasi kama noma na iwe noma.
Songwe umati umemfata mkurugenzi nyumbani kwake akawaapishe mawakala. Dawa ndo hii tuwalazimishe watende hakiDaah! Ngoja nizitafute hizo rafu halafu nimjuze Amsterdam.
Huyu john atatumaliza akipata tena