Mawakala wa kutafutia kazi watu nje ya nchi wa serikali na binafsi, fikirieni pia kutafutia watu kazi za msimu vijijini Ulaya, Marekani na Canada

Mawakala wa kutafutia kazi watu nje ya nchi wa serikali na binafsi, fikirieni pia kutafutia watu kazi za msimu vijijini Ulaya, Marekani na Canada

Jaribu Taesa ni mawakala wa serikali wa kutafutia ajira watanzania nje ya nchi wana website inaitwa Taesa Google andika Taesa .

Ofisi zao ziko Dar zinatazamana a chuo cha CBE nilienda muda mrefu sijui bado wapo pale au wamehama
Kwa private wako wengi andika google Tanzania recruitment agency watakuja kibao halafu angalia kazi walizonazo kwa sasa mara nyingi huwa wanapost lakini hata wasipopost kuuliza sio ujinga waweza wauliza kwa kwenda ofisini kuandika email au kuwapigia

Lakini pia sio vibaya kutafuta recruitment agency wa nchi nyingine hata za ulaya na marekani au canada kuangalia wao wamepata kazi ya ku recruit watu wa kazi zipi huwa wanaonyesha kabiisa kuwa wanatafuta foreigners Jaribu na wa kenya nao hupeleka nje wengi jaribu na wa Uganda na Rwanda pia.Usiridhike na wa Tanzania tu saka kuanzia kule unakotaka kwenda au nchi baada ya nchi ya ulaya na marekani na Canada .

Mtafutaji hachoki akichoka keshapata
Ni kitu inataka utulie mitandaoni hasa na u concentrate hasa

Good luck

Uko vizuri mkuu
 
Kuna Bravo Recruitment Agency

Kuna Competitive Manpower International Ltd wapo Magomeni pale.

Kuna Sasy Recruitment Agency pia wapo Magomeni.

Jaribuni Hao.

Kuna kampuni kule Saudi Arabia inaitwa Almarai naona wanachukua sana waTanzania kupitia hao agency. Jaribuni bahati.
 
Vipi hali zenu wakuu nilikuwa naomba msaada wa mawakala wa kazi katika nchi za Ulaya au nchi za kiarabu ila sanasana nchi za ulaya
 
Back
Top Bottom