BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
mawazo kama yako nilikuwa nayi kipindi siwezi kuhonga hata buku ten, siku ukiwa na uwezo wa kuhonga hata buku tano hayo unayoongea utasahauMmh. Mbona kama mbinu ya kizamani hiyo.
Ila kwani unashindwaje kuwaomba namba hao wadada wakakupa wenyewe kwa hiari yao ili hata ukileta huo mtongozo muweze kuelewana.
Punguzeni uoga jamani sababu mnakoelekea mtaharibu ile maana nzima ya uanaume.