kwa kweli mimi nimudhiwa sana na huyo sophia simba how dare her insulting a man like Regi, Regi is tanzania's a lot of peoples saviors je hao wahindi mafisadi alimuona nani akitoa msaada kwa jamii au hata kupa soda za bure tu kama sio wanaendelea na kuendelea kujilimbikizia mali kina inapowezekana kutokana na tamaa za watanzania wachache wanaowaendea hao gabacholi. can u believe a tanzanian minister talking bulsheet kwneye vyombo vya habari eti labda wanamaugomvi yao, the issue here is ufisadi na si vinginevyo. she must be one of them.
it is high time tuandame tanzania nzima labda huyo numberi wani hasikii au hajali watu anaowaongoza tukiandamana itamwingia kwenye akili yake. wahindi wananguvu bwana wanajua jinsi ya kutumia pesa ambazo sihalali yao.
nawasilisha kwa uchungu
it is high time tuandame tanzania nzima labda huyo numberi wani hasikii au hajali watu anaowaongoza tukiandamana itamwingia kwenye akili yake. wahindi wananguvu bwana wanajua jinsi ya kutumia pesa ambazo sihalali yao.
nawasilisha kwa uchungu