Uzi tayariKuna mwenzangu kati ya hao ni walevi, hivi karibuni ilibaki kidogo aharibu kazi.
Pascal Mayalla ni shahidi wa hili, jinsi ulevi ulivyo msababishia ajali mbaya ya pikipiki miaka kadhaa nyuma.
Uzi tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakili hapo unakuta mteja anakuambia nikitoka hii kesi nakupa nyumba Pilato(hakimu/jaji)anakuambia jamaa namfunga automatically lazma uvute nyagi au valuer
Napinga hoja yako..walevi sana hao,kama police kwa rushwa na ombaomba..wanajeshi salary mzuri na posho/maruburupu.Namba tatu umewaonea, maana wengi wao mshahara wao mdogo sana muda wa kunywa bia wanatoa wapi?