Mawakili wa Gachagua wakimbia Seneti

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Wakili mwenyewe sasa😂😂🤣🤣 lazima atokomee kaitika mazingira yasiyieleweka akitaitiwa.
 

Attachments

  • 20241017_120557.jpg
    60.5 KB · Views: 7
Mawakili wake walikuwa wanapenda vizuri kabla ya Gachagua kubadilisha GIA angani.
Wajanja wale ile wanaplay delaying tactics. Alianza mteja wao alipotea ghafla wakasema amepatwa na ugonjwa wakaomba waongezewe muda, baada ya hapo na wao wamesepa 🤣🤣🤣 hapo maamuzi yakitolewa wanapata sababu ya kwenda mahakamani kupinga kwamba hawakupewa nafasi ya kusikilizwa . wahuni 😄
 
hawajakimbia bali waneondoka kwani mwajiri wao kaondoka,aliyekimbia ni gashagua
 
Yahya Sinwar kafa leo usiku kucha ni kusheherekea Karaoke night club nikiimba kunywa, kuvuta na kusaza maamaee.

Finally he is dead.

Go to hell Yahya Sinwar.

#TeamRigathi

Nyau de adriz
 
Yahya Sinwar kafa leo usiku kucha ni kusheherekea Karaoke night club nikiimba kunywa, kuvuta na kusaza maamaee.

Finally he is dead.

Go to hell Yahya Sinwar.

#TeamRigathi

Nyau de adriz
Anaenda kuogelea na mabikira 72 hivyo anafurahi hatavyeye mwenyewe kwenda Kwa hao mabikira, za huku kaona zimejichokea
 
Hiyo siemeandikwa hivyo au kama ni uongo tuelimishe
kwa kawaida hao mawakili wameajiriwa na naibu rais,sasa kwakuwa huyo naibu rais hayupo,wao hawawezi kubaki kumtetea hivyo waliomba kuondoka na spika aliwaruhusu hivyo hawakukimbia bali waliomba kuondoka na spika aliwaruhusu wakaondoka,ombi la kuondoka liliwasilishwa na wakiki kiongozi wa naibu rais paul mwite
 
KAWAACHIA WAFANYE UJINGA WAO SENETI WASHAPEWA MAAGIZO UNAHISI WANAENDA KUFANYA NN KAMA SIOKUPOTEZA MDA...

Kama wabunge walionyesha vile vituko seneti nani waje tofauti

Shame kenyans
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…