Wajanja wale ile wanaplay delaying tactics. Alianza mteja wao alipotea ghafla wakasema amepatwa na ugonjwa wakaomba waongezewe muda, baada ya hapo na wao wamesepa 🤣🤣🤣 hapo maamuzi yakitolewa wanapata sababu ya kwenda mahakamani kupinga kwamba hawakupewa nafasi ya kusikilizwa . wahuni 😄Mawakili wake walikuwa wanapenda vizuri kabla ya Gachagua kubadilisha GIA angani.
hawajakimbia bali waneondoka kwani mwajiri wao kaondoka,aliyekimbia ni gashaguaKatikati Hali ya kushangaza, mawakili wa Naibu wa Rais Mh Rigathi Gachagua wamekimbia kwenye bunge la seneti baada ya ombi lao la kuahirisha kikao Cha kumuondoa madarakani Makamu wa Rais mpaka Jumanne ya wiki ijayo kukataliwa. Naona Gachagua kaamua kurusha taulo.
sawa,ni uhuru wako wa kidemokrasiaYahya Sinwar kafa leo usiku kucha ni kusheherekea Karaoke night club nikiimba kunywa, kuvuta na kusaza maamaee.
Finally he is dead.
Go to hell Yahya Sinwar.
#TeamRigathi
Nyau de adriz
Anaenda kuogelea na mabikira 72 hivyo anafurahi hatavyeye mwenyewe kwenda Kwa hao mabikira, za huku kaona zimejichokeaYahya Sinwar kafa leo usiku kucha ni kusheherekea Karaoke night club nikiimba kunywa, kuvuta na kusaza maamaee.
Finally he is dead.
Go to hell Yahya Sinwar.
#TeamRigathi
Nyau de adriz
ipo siku utayajutia haya manenoAnaenda kuogelea na mabikira 72 hivyo anafurahi hatavyeye mwenyewe kwenda Kwa hao mabikira, za huku kaona zimejichokea
Hiyo siemeandikwa hivyo au kama ni uongo tuelimisheipo siku utayajutia haya maneno
kwa kawaida hao mawakili wameajiriwa na naibu rais,sasa kwakuwa huyo naibu rais hayupo,wao hawawezi kubaki kumtetea hivyo waliomba kuondoka na spika aliwaruhusu hivyo hawakukimbia bali waliomba kuondoka na spika aliwaruhusu wakaondoka,ombi la kuondoka liliwasilishwa na wakiki kiongozi wa naibu rais paul mwiteHiyo siemeandikwa hivyo au kama ni uongo tuelimishe
KAWAACHIA WAFANYE UJINGA WAO SENETI WASHAPEWA MAAGIZO UNAHISI WANAENDA KUFANYA NN KAMA SIOKUPOTEZA MDA...Katikati Hali ya kushangaza, mawakili wa Naibu wa Rais Mh Rigathi Gachagua wamekimbia kwenye bunge la seneti baada ya ombi lao la kuahirisha kikao Cha kumuondoa madarakani Makamu wa Rais mpaka Jumanne ya wiki ijayo kukataliwa. Naona Gachagua kaamua kurusha taulo.