Mawakili wanaosimamia kesi ya Mbowe wana uwezo mdogo

Mawakili wanaosimamia kesi ya Mbowe wana uwezo mdogo

Wakuu,

Ni wazi shairi Mbowe si gaidi maana tulitegemea ushahidi utolewe Mahakamani na kesi iishe mapema tu.

Hawa Mawakili wakiongozwa na Peter Kibatala wamekuwa wakihoji mambo madogo kabisa yasiyokuwa na msingi wowote katika kesi hii.

Walituaminisha iko kidubwana kinachoitwa PGO kinaenda kumaliza hii kesi ndogo kumbe imechelewesha kesi yenye msingi.

Wamekuwa wakihoji maswali ya vyakula na vinywaji kama vile mo energy mara nani alilipia nk

Lakini pia waliigomea Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Jinai kwamba haina hadhi ya kujudge kesi hii ya Mbowe, yaani hata hili kweli walikuwa hawalijui?

Walishauri Mbowe agomee yule Jaji wa kwanza na akajitoa kusikiliza kesi hiyo, sasa hata huyu aliyeanza kuisikiliza amejiengua.

Kwa mwenendo wa Mawakili hawa naiona hii kesi inaenda kuishia kubaya kwani uwezo wao ni mdogo kulinganisha na kesi hii.

Ni vema Tundu Lissu arejee kuisimamia ili kumnusuru Mwenyekiti.

Hukumu hupaswa kuzingatia ushahidi usioacha shaka na kifungu husika cha sheria.

Jaji Siyani katumia ushahidi pekee wa upande wa mashtaka bila kuonyesha kwanini ushahidi huo ni wa kweli.

Jaji Siyani katupilia mbali ushahidi wote wa upande wa utetezi bila kuonyesha kwanini ushahidi huo si wa kweli.

Detention register ya Moshi ilihitijika angalau Jaji kuweza kusema yaliyosemwa na upande wa mashtaka yangeweza kuwa kweli.

Tathmini ya daktari kwa washitakiwa ilikuwa muhimu japo kwa Jaji kujiridhisha tu kuwa hawakuwa wameteswa.

Kwani Jaji Siyani ni malaika wa kujua ushahidi upi ni kweli na upi ni uongo kwa kusikiliza tu wakati majumuisho ya upande wa utetezi na yale ya mashtaka yanakinzana 100%.

Haina shaka kuwa ya Jaji Siyani ni visingizio tu vya kufikia hitimisho lile lile ambalo angelifikia hata kama wakili wa utetezi angekuwa Mungu!

Mawakili wa utetezi wako vizuri:

1. Hawakuwa na haja ya kuhitaji detention register ya Moshi kuthibitisha kuwa Adamoo aliandikisha maelezo baada ya masaa 4 kupita tokea kukamatwa Moshi.

--> Hili ni wazi hata kwa mtoto mdogo anajua kuwa maelezo yalichukuliwa nje ya muda.

2. Hawakuwa na haja ya kuikataa detention register ya Central ili kuonyesha Adamoo aliteswa huku Jaji akiyaona makovu kwa macho juu ya ushahidi wa mashahidi kuhusu kuteswa.

-->Hili hata mtoto mdogo anajua washitakiwa waliteswa.

Mengine wakuu ni utopolo mtupu.
 
Pathetic! Hakuna criminal defendant atakayetiwa hatiani kama testimonies za criminal defendants zitabebwa na mahakama at face value.

Pathetic! Hakuna defendant atashinda kesi yoyote kama only prosecution allegations ndizo zitakuwa zinakuwa taken into consideration na mahakama and at face value.

Ushahidi wa polisi pekee ndiyo umezingatiwa na Jaji Siyani kwenye shauri hili and at face value!

Hakika hata kama wakili angekuwa Mungu angeshindwa hii kesi.
 
Wakuu,

Ni wazi shairi Mbowe si gaidi maana tulitegemea ushahidi utolewe Mahakamani na kesi iishe mapema tu.

Hawa Mawakili wakiongozwa na Peter Kibatala wamekuwa wakihoji mambo madogo kabisa yasiyokuwa na msingi wowote katika kesi hii.

Walituaminisha iko kidubwana kinachoitwa PGO kinaenda kumaliza hii kesi ndogo kumbe imechelewesha kesi yenye msingi.

Wamekuwa wakihoji maswali ya vyakula na vinywaji kama vile mo energy mara nani alilipia nk

Lakini pia waliigomea Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Jinai kwamba haina hadhi ya kujudge kesi hii ya Mbowe, yaani hata hili kweli walikuwa hawalijui?

Walishauri Mbowe agomee yule Jaji wa kwanza na akajitoa kusikiliza kesi hiyo, sasa hata huyu aliyeanza kuisikiliza amejiengua.

Kwa mwenendo wa Mawakili hawa naiona hii kesi inaenda kuishia kubaya kwani uwezo wao ni mdogo kulinganisha na kesi hii.

Ni vema Tundu Lissu arejee kuisimamia ili kumnusuru Mwenyekiti.
Ungekuwa umesoma sheria na kuielewa wala usingejiaibisha kwa kuleta uzi huu. Kuhoji ndo kazi ya wakili bila kujali kama anahoji mambo makubwa au madogo. Kweli ujinga ni mzigo.
 
Wakuu,

Ni wazi shairi Mbowe si gaidi maana tulitegemea ushahidi utolewe Mahakamani na kesi iishe mapema tu.

Hawa Mawakili wakiongozwa na Peter Kibatala wamekuwa wakihoji mambo madogo kabisa yasiyokuwa na msingi wowote katika kesi hii.

Walituaminisha iko kidubwana kinachoitwa PGO kinaenda kumaliza hii kesi ndogo kumbe imechelewesha kesi yenye msingi.

Wamekuwa wakihoji maswali ya vyakula na vinywaji kama vile mo energy mara nani alilipia nk

Lakini pia waliigomea Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Jinai kwamba haina hadhi ya kujudge kesi hii ya Mbowe, yaani hata hili kweli walikuwa hawalijui?

Walishauri Mbowe agomee yule Jaji wa kwanza na akajitoa kusikiliza kesi hiyo, sasa hata huyu aliyeanza kuisikiliza amejiengua.

Kwa mwenendo wa Mawakili hawa naiona hii kesi inaenda kuishia kubaya kwani uwezo wao ni mdogo kulinganisha na kesi hii.

Ni vema Tundu Lissu arejee kuisimamia ili kumnusuru Mwenyekiti.
Mwenye uwezo mdogo ni wewe mwenyewe...
Jaribu kutafuta na kusoma maamuzi ya Jaji word by word... Ukiyaelewa rudi tena uandike
 
Mwenye uwezo mdogo ni wewe mwenyewe...
Jaribu kutafuta na kusoma maamuzi ya Jaji word by word... Ukiyaelewa rudi tena uandike

Mkuu tumeyasoma word to word and onto maelezo ya Jaji yaliyozingatia ushahidi wa upande wa mashtaka peke yake na ndipo tukaandika.

Kwani kuna ushahidi upi unao qualify ushahidi wa upande wa mashtaka kuwa kweli na kweli tupu? Au ushahidi upi unao disqualify ushahidi wa upande wa utetezi kuwa batili na batili kweli kiasi cha kutozingatiwa hata chembe?
 

Attachments

Pathetic! Hakuna defendant atashinda kesi yoyote kama only prosecution allegations ndizo zitakuwa zinakuwa taken into consideration na mahakama and at face value.

Ushahidi wa polisi pekee ndiyo umezingatiwa na Jaji Siyani kwenye shauri hili and at face value!

Hakika hata kama wakili angekuwa Mungu angeshindwa hii kesi.

Unahitaji kufanya sala ya toba. Mungu hadhihakiwi.
 
Mimi nisiyetoa hukumu ninahusikaje na haramu zake?

Ukishangilia, ukidemkia, ukishadadia, ukikomalia uharamu wake eti kuwa uonekane ni halali na yote ya namna hiyo, huwezi kujitenga na haramu husika.

That's where you fit tightly.
 
Jaji kahongwa cheo sasa ni jaji kiongozi kwa maamuzi haramu ya kishetani ni Aibu kwa Nchi kuwa na Jaji kiongozi asiyejua kubalance ushahidi
 
Ukishangilia, ukidemkia, ukishadadia, ukikomalia uharamu wake eti kuwa uonekane ni halali na yote ya namna hiyo, huwezi kujitenga na haramu husika.

That's where you fit tightly.

Mimi sijashangilia. I just cannot take sides as most of you do. Just because I didn’t reject the judge’s decision it doesn’t mean that I sided with him. I just don’t have any compelling reason for rejecting his decision.

Ninatambua ugumu wa kazi wanazofanya wenye dhamana ya kusikiliza na kuamua mashauri. Almost hakuna mtuhumiwa anayeweza kufanya self incrimination akiwa kwenye witness stand. In fact, most criminal defendants tend to engage in emotional manipulation to win a judge’s sympathy.
 
Mimi sijashangilia. I just cannot take sides as most of you do. Just because I didn’t reject the judge’s decision it doesn’t mean that I sided with him. I just don’t have any compelling reason for rejecting his decision.

Ninatambua ugumu wa kazi wanazofanya wenye dhamana ya kusikiliza na kuamua mashauri. Almost hakuna mtuhumiwa anayeweza kufanya self incrimination akiwa kwenye witness stand. In fact, most criminal defendants tend to engage in emotional manipulation to win a judge’s sympathy.

Pana mkurulo mrefu wa mambo pale, sina hakika kwanini umechagua kushangilia peke yake:

IMG_20211023_001445_876.jpg


You accuse others for taking sides, yet you don't want to be accused for the same?!

Not taking sides is not by mere words. Neither, does not mean persistently demeaning those you think have taken sides yet on no grounds.

Natural justice. Is it not?
 
Hakuna cha mawakili wala cha nani, ukweli ni kwamba Tanzania kwa sasa hatuna credible judiciary, period.

Toka Magufuli alivyowambia majaji kwa nini serikali inashindwa kila kesi ilhali yenyewe ndio inatoa pesa za kuendeshea hizo mahakama na akateua na jaji mkuu kwa "Blackmail Style of Appointment" basi akawa ameinajisi kabisa idara ya mahakama.

La pili, serikali ya ccm kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakiwaweka kwenye idara ya mahakama majaji na mahakimu ambao ni aidha wanachama wa chama chao au ni watumishi wa idara ya usalama wa taifa jambo ambalo limechangia kuua kabisa mhimili wa mahakama na matokeo yake ndio haya tunayoyashuhudia leo, mara Sugu afungwe kiuonevu, mara Lema anyimwe dhamana na sasa ni zamu ya Mbowe na bila shaka orodha itaongezeka huko mbeleni.
Mamlaka yauteuzi, imeamua...
 
Nilitamani nifafanue jambo tokana na hoja ya mleta mada ila ngoja kwanza Mungu ni mwingi wa rehema
 
Ukishangilia, ukidemkia, ukishadadia, ukikomalia uharamu wake eti kuwa uonekane ni halali na yote ya namna hiyo, huwezi kujitenga na haramu husika.

That's where you fit tightly.
Kuwa Jaji kiongozi lazima ufanye uonevu kwa chadema Hii ni aina ya Rushwa mpya kugawana vyeo baada ya maamuzi haramu ya kishetani
 
Pana mkurulo mrefu wa mambo pale, sina hakika kwanini umechagua kushangilia peke yake:

View attachment 1983722

You accuse others for taking sides, yet you don't want to be accused for the same?!

Not taking sides is not by mere words. Neither, does not mean persistently demeaning those you think have taken sides yet on no grounds.

Natural justice. Is it not?

Taking sides is a useless culture. It’s a recipe for chaos. No court decision is going to be acceptable to all.

There’s no need to accuse our judges of anything. They have a zero chance of winning. If they acquit a criminal defendant, they’ll be accused of favoring the criminal defendant. If they convict him or her, they’ll be accused of favoring the government. It’s nonsense!

To the extent allowed by our laws, let any aggrieved party take his or her case to the next level in the judicial system.
 
Back
Top Bottom