Awapeleke TLS wataitwaNina Ndugu yangu mawakili wake wanamsumbua kwenye kesi aliyowapa..
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?
TLSNina Ndugu yangu mawakili wake wanamsumbua kwenye kesi aliyowapa..
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je, dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?
Mimi alinisumbua ktk maushauri pale CMA nikamtoa kwani napambana mwenyewe. Kwani alikuwa. anaacheza na upande wa pili.Nina Ndugu yangu mawakili wake wanamsumbua kwenye kesi aliyowapa..
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je, dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?
Kuwa mkweli kwamba ndugu yako atakuwa ni msumbufu katika kutoa professional fee ili wamsaidie jambo lake.Nina Ndugu yangu mawakili wake wanamsumbua kwenye kesi aliyowapa..
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je, dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?
Na wewe utakuta ni wakili halafu unamchoma wakili mwenzako.
Nakumbuka Masumbuko Lamwai aliwahi kunyanganywa leseni kwa matatizo kama hayo, alikuwa mahakamani hatokei siku za kesi.Nina Ndugu yangu mawakili wake wanamsumbua kwenye kesi aliyowapa..
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je, dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?
Basi dawa yao Ni kuwatembezea miti tu maana si hautaki Prof. Approach.Na wewe utakuta ni wakili halafu unamchoma wakili mwenzako.
Kwahiyo kuwa wakili ndio atetee uhuni wenu?Na wewe utakuta ni wakili halafu unamchoma wakili mwenzako.
Hapana Mku.Na wewe utakuta ni wakili halafu unamchoma wakili mwenzako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi alinisumbua ktk maushauri pale CMA nikamtoa kwani napambana mwenyewe. Kwani alikuwa. anaacheza na upande wa pili.