Mawaziri Aisha Kigoda na Seif Khatibu watangaza penzi lao Bungeni

Sasa Ramadhani inakuwa vipi watu kama hao?si wamekatazwa kujishuhulisha na ngono kabla ya kuowana ?hafu wanatangazia ulimwengu kuwa wao ni wapenzi jambao ambao limekatazwa katika kitabu chao kufanya hivyo ni kupinga mamrisho yaliyokuwemo ndani yake Loh.sasa ni bora mkajiunga nasi .
 
Mh Seif Khatibu si ana mke wake jamani? ama Bi Kigonda ni nyumba ndogo?
 
Hongera Bi Aisha kuweka mambo hadharani .

wenye wivu na wajichome


Na ndoa ilishafungwa siku nyingi nyumbani Tanga, last year kama sikosei!!!! (2008). Mungu Ibariki ndoa hii idumu!!!! isiwe kikwazo kama ile ya awali!!!
 

Ndoa alishafunga long time ago huko Tanga. Seif ana mke mkubwa. Dr. Kigoda ana watoto watatu au wanne kama sikosei na wajukuu tayari!!!

Aisha Kigoda ni Medical Assistant jamani!!! Anajiita Doctor, sijui ni sahihi. Hebu wenye proff yao watujuze namna Initials zao ninaenda. Maana clinicians nao wanajiita Doctors. Ndiyo maana na akina maji Marefu nao wanajiita Doctors!!! Kuna vinyozi nao wanajiita Dr. Yaani tabu tupu!!! Watu wanasota miaka mitano halfu wengine wanatumia heshima zao bila darasa la maana!!!
 

Hivi mwanamke mwenye watoto na wajukuu anapoamua kuolewa, anakuwa anatafuta nini? Kama ni watoto anao, na wajukuu kabisa! Kama company, nadhani ya watoto na wajukuu inatosha. Kama ni ngono, hivi mtu hadi azae na kujukuu, na kwenye ngono bado wamo tu? Mshangao wangu.
 
Seif akipeta Urais Zanzibar 2010. Dr. Aisha "First Lady" ZNZ, Inshallah.

HAWEZI KUWA first lady KWANI HUYU JAMAA ANAO WENGINE WALIOMTANGULIA aisha HUKO ZENJ!!
 
aisha kigoda kaachana na udungayembe.......khatibu kaachana na ugendaeka.Safi hiyo......wenye wivu wajinyonge.
''Mvumilivu hula mbivu.....ila mvundika mbivu hula mbovu''
 
Honger Dr.Aisha umeonyesha kuwa wewe ni mwanamke uliyekamilika coz hata uwe na pesa au wazifa mkubwa serikalini lakini mapenzi ni muhimu kwa kila mtu thats what Dr Aisha has shown,I like that!
 
Honger Dr.Aisha umeonyesha kuwa wewe ni mwanamke uliyekamilika coz hata uwe na pesa au wazifa mkubwa serikalini lakini mapenzi ni muhimu kwa kila mtu thats what Dr Aisha has shown,I like that!
Aargh!
 

Madokta mbona wengi sana bana? dr.Nchimbi,dr.Kamara,Dr.Dialo,Dr.Kanumba,Dr.Mary Nagu,Dr.Michuzi,Dr.etc. the list is endless. Siku hizi ukisikia mtu dr. unaona kama bongo fleva tu,kila atakae anakuja na single yake.
 

Madokta mbona wengi sana bana? dr.Nchimbi,dr.Kamara,Dr.Dialo,Dr.Kanumba,Dr.Mary Nagu,Dr.Michuzi,Dr.etc. the list is endless. Siku hizi ukisikia mtu dr. unaona kama bongo fleva tu,kila atakae anakuja na single yake.
 
NI Private matter but, Aisha ni mke wa Waziri Seif wanagapi? Na Dr. Aisha ni chuo cha ngapi, japo naelewa dini yao inaruhusu hadi wake wa nne
 
Mie kusema ukweli dini ya kiislamu naipendea jambo hilo tu, la kuruhusu mwanaume kuwa na wake kadhaa, hiyo safi sana. Sijui kwa nini dini nyingine zisijifunze kwa waislamu japo point hiyo tu.

Kama wasingekataza kitimoto na bia, mi ningesilimu hata kesho!
 
Mbona kulikua na fununu kuwa huyu Aisha Kigoda ni wife wa yule ex-minister wa mipango na uchumi Bw. Kigoda. Ukweli ni upi au kuna katalaka kalikojificha hapo?
 
Matokeo ya mahusiano haya ni ushahidi tosha kuwa huko Bungeni ni mengi yanaendelea esp kama Mbunge haonekani saa za Bunge inatia mashaka kweli. Je wale ambao hawajajitokeza wanachapana kimya kimya? Tafakari......
 

ndugu unauhakika na hayo uyasemayo? hebu tuletee uthibitisho wa kauli yako
 
Mbona kulikua na fununu kuwa huyu Aisha Kigoda ni wife wa yule ex-minister wa mipango na uchumi Bw. Kigoda. Ukweli ni upi au kuna katalaka kalikojificha hapo?

yule ni kaka yake ndio maana majina ya mwisho yanafanana
 
Kwa mujibu wa CV iliyoonyeshwa kwenye tovuti ya Bunge, Aisha Kigoda sio doctor kama anavyojiita bali ni Clinical Medicine Officer mwenye🙁1) Advanced diploma in clinical Medicine - KCMC
(II) Diploma in Clinical medicine -Bugando
1.
 

Mkuu Maane.

Dr Aisha Kigoda ni doctor msaidizi [AMO] Assitant Medical Officer.

Huu mfumo nadhani uko Tanzania pekee yake na ulibuniwa na Mwl J K Nyerere miaka ya nyuma baada ya kupata uhuru kulikuwa na uhaba mkubwa wa madaktari.

Mwl Nyerere alijua kozi ya udaktari ilichukua miaka mitano na wakati huo Tanzania ilikuwa na uhaba mkubwa wa madaktari.kozi ya Medical Assistant au Clinical Officer ya miaka mitatu[Diploma] zilibuniwa.Baada ya kufanyakazi kwa muda usiopungua miaka mitatu kazini una kwenda up grade Advance Diploma miaka miwili / miezi kumi na nane anakuwa AMO daktari msaidizi.Advance Diploma inakuwa na specialization eg Demartologist [doctor wa ngozi],Eyes nk.Tusisahau pia kulikuwa na kozi ya Rural Medical aid hii ilichukuwa mpaka wanafunzi wa darasa la saba kwa sasa hii kozi imeshafutwa lakini kwa mazingira ya wakati ule ilisaidia sana kupunguza vifo ya vya watoto na kina mama.

Upungufu wa wataalamu wa sector ya afya pia ulimlazimisha Mwl J Nyerere kuomba msaada kwa F Castro wa Cuba ambao nao walisaidia sana kupunguza tatizo la uhaba wa madaktari.Sijui kama Tanzania ilipata msaada wa wataalamu kutoka nchi nyingine.

Mazingira ya sasa sioni sababu ya kuendelea kuwa na kozi za AMO kwasababu tayari vyuo vya KCMC na Bugando vimeshapata uwezo wa kuzalisha madaktari kamili yaani Medical Officer.
AMO wamesaidia kuokoa maisha ya watanzania wengi sidhani kama ni heshima kuwabeza au kutilia shaka ujuzi wao.Kinachotakiwa ni kwenda na wakati serekali inatakiwa kuifuta kama ilivyofanya kwa Rural medical Aid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…