Pre GE2025 Mawaziri Aweso, Bashungwa wakicheza muziki stejini wakiwa na vikapu Kichwani

Pre GE2025 Mawaziri Aweso, Bashungwa wakicheza muziki stejini wakiwa na vikapu Kichwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hali hii hata kesho yetu si ya matumaini 😙🙄🙄🙄
 
Huyo Aweso,anakata mauno ili hali inchi Ina shida kubwa ya maji
Maneno mengi, vitendo sifuri.
 
Duh kweli pesa inaweza kufanya ufanye jambo lolote lile....Hii inchi si yetu tena.
 
Aweso anapata wap nguvu ya kucheza na kucheka wakat watu hawana maji huyu anatuzoea sasa kama Zakayo
Bila waziri hakuna maji?Ni hoja ya kitoto.
Je Katibu Mkuu,wakurugezi wa wizara,wakurugenzi wa mikoa na wilaya,hadi ma engineer na mafundi wao wasiwajibike?Haya mambo ya kusukumwa kusukumwa as if ni watoto wadogo kila mara Watanzania acha uvivu.
Uvivu umezidi ukiongeza na akili zetu za mgando eti lawama kwa waziri!
Complete nonsense, sema tuwafukuze watu wote tuajiri wachina 500 tu au wajerumani 100 nchi itakuwa na maji.
Nchi ya vijitu vivivu vikitegemea maajabu.
 
Wakuu

Mawaziri wakisakata rhumba :BRUHMM:

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa wakicheza muziki Jukwaani huku wakiwa na vikapu kichwa wakati wa ziara ya Rais Samia Mkoani Tanga.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wanapata Hela nyingi kwa kuongea uongo mwingi na propaganda. Ukiongezea na hela za madili ya kihuni huni hata ikiwa ni kucheza vifua wazi na bukta tu, watafanya.
 
Back
Top Bottom