Mawaziri hawa ni bora wajitafakari uwepo wao katika hizo Wizara kwa maslahi mapana ya Taifa

Mawaziri hawa ni bora wajitafakari uwepo wao katika hizo Wizara kwa maslahi mapana ya Taifa

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
 
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
So broo wakitoka hao wakae akina nani unazani watafit
 
Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .
Naunga mkono hoja, wawili kati yao waache unafiki wa kujipendekeza na mwingine (mmoja) aache kupanga ma-deal
 
Nape anazunguka na helikopta ya TANAPA eti anakagua anuani za makazi hewani!

Ama kweli kutesa kwa zamu.
 
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Hao uliowataja kwamba hawafai ni akili kubwa na wanafanya vizuri..

Unatakiwa uje na ulinganishi wa ufanisi wao sio kuja na mahaba yenu ya chumbani.
 
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Bila kufukuzwa hatoki mtu
 
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Bila kufukuzwa hatoki mtu
 
Back
Top Bottom