- Thread starter
- #21
Mpaka kutolewa kwa vibokoBila kufukuzwa hatoki mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka kutolewa kwa vibokoBila kufukuzwa hatoki mtu
Mwigu, pena na marope ni mawaziri wa kudra za.........Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk
Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .
Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.
Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
SawaTatizo kubwa la Waswahili HATUTAKI kazi.
Muda wote Ni kufuatilia Nani ANAFANYA Nini, ANAENDA WAPI, RATIBA ZIKOJE?
Kwahiyo ulikuwa unabashiri hauna grounds za kudefend hoja yako Mkuu?Basi kama kabadilika inapendeza
Mkuu kuna muda huwa hatuhitaji sana kuvutana ukichukulià muda mchache mambo MengiKwahiyo ulikuwa unabashiri hauna grounds za kudefend hoja yako Mkuu?
Anakagua hewani[emoji3]Nape anazunguka na helikopta ya TANAPA eti anakagua anuani za makazi hewani!
Ama kweli kutesa kwa zamu.
Hata mimi saiv Nape namuelewa,naona kajifunza kitu kwenye haya maisha.Mbona nape ni miongoni mwa mawaziri wanaofanya kazi vizuri kwa sasa..au una muhukumu kwa mambo yake ya zaman?
Bata gani jamani?Nape MLA bata Ila walau anajitahdi ,
Na yule mwongo wa msikitini hafai na kale kengine kana mdomo mkubwa sijui ni katambi au kitambiUkitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk
Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .
Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.
Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Kumsifia Bashe au Awesu bila kumsifia Mwigulu anaefikiria hela za kuwapa Bashe na Awesu ni upunguani ulio wazi. Sikuwa nikimuelewa Mwigulu huko nyuma ila now ni miongoni mwa mawaziri bora kabisa. Mama anapata nguvu sababu ya Mwigulu mtafuta pesa.Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk
Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .
Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.
Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
hakikaHii nchi kila mtu anaweza kuwa waziri!