Mawaziri hawa ni bora wajitafakari uwepo wao katika hizo Wizara kwa maslahi mapana ya Taifa

Mawaziri hawa ni bora wajitafakari uwepo wao katika hizo Wizara kwa maslahi mapana ya Taifa

Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Mwigu, pena na marope ni mawaziri wa kudra za.........
 
Tatizo kubwa la Waswahili HATUTAKI kazi.

Muda wote Ni kufuatilia Nani ANAFANYA Nini, ANAENDA WAPI, RATIBA ZIKOJE?
 
Nape ni mtekelezaji ,ila Mwigulu na Makamba ni mawaziri hovyo kabisa
 
Hawa wote hawakuwa chaguo la JPM alijua kwamba si wachapa kazi bali wapiga dili
 
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Na yule mwongo wa msikitini hafai na kale kengine kana mdomo mkubwa sijui ni katambi au kitambi
 
Ukitafakari na kuangalia kwa kina sana Utagundua Baraza hili la Mawaziri limejaa akiri kubwa tupu. Hongera kwa Rais SSH ,juu kuna Kassim Majaliwa pale Bashe ,huku Ummy kule Aweso ..nk

Ila kuna hawa Kina MWIGULU,J MAKAMBA pamoja na NAPE utendaji wao na uteuzi wao ni wamashaka sana .

Kama kulikuwa na namna katika uteuzi wao ni bora wajitafakari wamuombe Mama abadilishe hizo wizara zipate watu wanao eleweka.

Na kama kuna viongozi wengine wa aina hii basi tuweke mbele maslahi ya Taifa .
Kumsifia Bashe au Awesu bila kumsifia Mwigulu anaefikiria hela za kuwapa Bashe na Awesu ni upunguani ulio wazi. Sikuwa nikimuelewa Mwigulu huko nyuma ila now ni miongoni mwa mawaziri bora kabisa. Mama anapata nguvu sababu ya Mwigulu mtafuta pesa.
 
Back
Top Bottom