Mawaziri hawa wanafanya nini cha ziada mpaka kuaminiwa na Rais?

Mawaziri hawa wanafanya nini cha ziada mpaka kuaminiwa na Rais?

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051
Wakuu wadanganyika naomba kufahamu mwenye connection na mtaalam wa marope sababu naona accuracy yake ni 99.9%. Akiongea na boss jua boss hachomoi.

Sasa bandugu na mimi nina boss wangu nataka nimfanye kama marope alivyomfanya chifu asiweze kuchomoa kwa kila nitakalo mpendekezea hata ni nikumuambia auze kampuni, pesa anipe mimi.

Marope alishawahi kufeli mara moja tu, pale alipoondoa tozo kwenye mafuta sijui alikosea masharti au mtaalam wa madelu alimzidi kete ndio maana napendekeza hata ikishindikana kumpata mtaalam wa marope basi wa madelu pia anaweza kuwa na msaada na yeye naona anaupiga mwingi.

Hata kama una ukaribu na mwana vita yule dada yake marope nasikia anakoneksheni vilinge vyote Afrika
Mashariki na kati mpaka kusini mwa jangwa la sahara bondeni kwa madiba.

Naomba kuwasilisha

NB: Mganga wa kweli ni Mungu huko tunazuga zuga tu.
 
Kuna babu mmoja wa kipemba huyu mzee ni konki aisee, kuna vigogo serikalini wanamlea huyu mzee, yupo kariakoo hapo amekodiwa apartment jengo fulani.

Alitambulika rasmi baada ya kumsaidia mmoja wa wanafamilia ya mzee ruksa, hadi sasa vigogo wamemshikilia haswa yaani huwezi kumpata kirahisi.

Japokua yeye huyo mzee anamoyo wa kusaidia sana, kwa ambao hawana uwezo hua anakusaidia tu, maana huna uwezo wa kumlipa.
 
Nasikia marope anamtaalam wake Congo huyo ndio chief engineer.
Huyo bibi wa madelu yu wapi?
Wakongoman wengi ni maruhani tu na wapo hata Bongo!

Kuna MMOJA anaponyesha ukimwi KWA dozi ya siku 30!ndio alimsaidiaga prof.Sarungi kuingia Bungeni na huyu dokta alikuwa pale mhimbili kwenye kitengo maalumu badae akaondoka pale!

Maruhani au majini ndio uhakika KWA wanaotaka vyeo hata msoga atakua ni Hayo hata mzee mwinyi atakua kameza hazina yao ya kuishi miaka mingi Sana!

Waislamu ni waswahili Sana wanauelewa ulimwengu kuliko hata christians!

HUYO wa Mwigulu simjui!!
 
Wakongoman wengi ni maruhani tu na wapo hata Bongo!

Kuna MMOJA anaponyesha ukimwi KWA dozi ya siku 30!ndio alimsaidiaga prof.Sarungi kuingia Bungeni na huyu dokta alikuwa pale mhimbili kwenye kitengo maalumu badae akaondoka pale!

Maruhani au majini ndio uhakika KWA wanaotaka vyeo hata msoga atakua ni Hayo hata mzee mwinyi atakua kameza hazina yao ya kuishi miaka mingi Sana!

Waislamu ni waswahili Sana wanauelewa ulimwengu kuliko hata christians!

HUYO wa Mwigulu simjui!!
Mkuu nimekupata.
Kuna lile pango ambalo Joyce Banda alienda kuomba urais liko
Zenji akaingia madarakani kwa urithi unaweza kuwa na ufahamu nalo
inasadikika kunakioongozi aliingia tz kupitia hilo pango achana na yule
komando wa zenji aliyekosea masharti
 
Kuna babu mmoja wa kipemba huyu mzee ni konki aisee, kuna vigogo serikalini wanamlea huyu mzee, yupo kariakoo hapo amekodiwa apartment jengo fulani.

Alitambulika rasmi baada ya kumsaidia mmoja wa wanafamilia ya mzee ruksa, hadi sasa vigogo wamemshikilia haswa yaani huwezi kumpata kirahisi.

Japokua yeye huyo mzee anamoyo wa kusaidia sana, kwa ambao hawana uwezo hua anakusaidia tu, maana huna uwezo wa kumlipa.
Mzee wa maruhani huyo na atakuwa wa kimataifa na wana Umoja wao wa kitabibu wanajuana!

Na hao wazee ni wazee wa chama kama shehe yahya marehemu!
 
Mkuu nimekupata...,
Kuna lile pango ambalo Joyce Banda alienda kuomba uraisi liko
zenj akaingia madarakani kwa urithi unaweza kuwa na ufahamu nalo
inasadikika kunakioongozi aliingia tz kupitia hilo pango achana na yule
komando wa zenji aliyekosea masharti
Hapana mkuu

Atakuwa ni Mwinyi senior au msoga!!

Wanaenda kuonana na wenye nchi yao!majini na kupewa masharti ya kutosha!!
 
Hao ni wachawi wa kutupwa. Muda si mrefu wataanza kurogana wenyewe kwa wenyewe kama hawajaanza bado. Lile marope senior sura lake ukiliangalia tu unamuona shetani mwenyewe. Uzuri ni kwamba wapo kwenye muda wa kuazima, soon wote wanasahaulika
 
Hao ni wachawi wa kutupwa. Muda si mrefu wataanza kurogana wenyewe kwa wenyewe kama hawajaanza bado. Lile marope senior sura lake ukiliangalia tu unamuona shetani mwenyewe. Uzuri ni kwamba wapo kwenye muda wa kuazima, soon wote wanasahaulika
Hata mimi naliona hilo ndio maana wanalamba asali kama hakuna kesho
 
Back
Top Bottom