Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
"Kuwatua akina mama ndoo kichwaki"Nayule jamaa wa kuwatua akina mama ndoo kichwani. Zaidi ya maneno kibao hamna kitu pale ningonjera nyingi tu
Haka ka phrase huwa kananichekesha sana[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kuwatua akina mama ndoo kichwaki"Nayule jamaa wa kuwatua akina mama ndoo kichwani. Zaidi ya maneno kibao hamna kitu pale ningonjera nyingi tu
Kanamwaga nahau kibao ili kakubaliwe lakini ngoma imekua nzito kiu inazidi"Kuwatua akina mama ndoo kichwaki"
Haka ka phrase huwa kananichekesha sana[emoji23]
Ni kweli anatibu kwa maruhani, yaani popote ulipo anakutibu bila ya kumfwata ( inayegemea na uzito wa kazi lakini)Mzee wa maruhani huyo na atakuwa wa kimataifa na wana Umoja wao wa kitabibu wanajuana!
Na hao wazee ni wazee wa chama kama shehe yahya marehemu!