muta ngegi
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 167
- 129
Wakongoman wengi ni maruhani tu na wapo hata Bongo!
Kuna MMOJA anaponyesha ukimwi KWA dozi ya siku 30!ndio alimsaidiaga prof.Sarungi kuingia Bungeni na huyu dokta alikuwa pale mhimbili kwenye kitengo maalumu badae akaondoka pale!
Maruhani au majini ndio uhakika KWA wanaotaka vyeo hata msoga atakua ni Hayo hata mzee mwinyi atakua kameza hazina yao ya kuishi miaka mingi Sana!
Waislamu ni waswahili Sana wanauelewa ulimwengu kuliko hata christians!
HUYO wa Mwigulu simjui!!
Pm hupo Mkuu?