Mawaziri hawa wanafanya nini cha ziada mpaka kuaminiwa na Rais?


Pm hupo Mkuu?
 
Kuwa muadilifi na mchapa kazi kwa weledi kama January makamba au nchemba hiyo ndo dawa pekee. Haya mengine ni mazingaombwe tu
 
Hao ni wachawi wa kutupwa. Muda si mrefu wataanza kurogana wenyewe kwa wenyewe kama hawajaanza bado. Lile marope senior sura lake ukiliangalia tu unamuona shetani mwenyewe. Uzuri ni kwamba wapo kwenye muda wa kuazima, soon wote wanasahaulika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama unajambo lako sio lazima hadi upate connection ndio lifanikiwe, vinginevyo unaoenda anakula pesa yako bure, vinginevyo huyu waweza mwita kanjanja🤔
 
Mimi kwa kukusaidia naweza kukuelekeza kwa Baba yake Wazo hill,Dar es salaam,ambapo itakuwa rahisi kumpata January kupitia ushawishi wa Baba yake.
Hawezi kuniambia mtaalam wake kwa mdomo wake ni kuuza nyaraka za siri
 
Aliyefel wa kwanza ni yule aliyewateua yaan mama hasikii wala haambiwi kuhusu hawa vija kwa kifupi kafa kaoza
Marope
Bao la mkono
Nchemba
 
Aliyefel wa kwanza ni yule aliyewateua yaan mama hasikii wala haambiwi kuhusu hawa vija kwa kifupi kafa kaoza
Marope
Bao la mkono
Nchemba
Nayule jamaa wa kuwatua akina mama ndoo kichwani. Zaidi ya maneno kibao hamna kitu pale ningonjera nyingi tu
 
Haha, kuna watu wanatafutwa hapa[emoji1].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…