Mawaziri kuwekwa kitimoto na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Mawaziri kuwekwa kitimoto na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Mchawi ni CCM wala siyo mawaziri.Msikilize mwenyekiti wa CCM hapa🐒🐒🐒View attachment 2183946
Kwa nini wasigeuze gesi kuwa kimiminika au ni kusingizia tu wengine kwamba mafuta yamepanda bai na wao wapo wapo tu wamelala fofofo... mafuta yamepanda bei na gesi ipo, hakuna maarifa ya kuigeuza gesi iwe mafuta mbadala... (bila kujali muda) akili na maarifa matopeni kwa kweli... sijui lini Mungu atatuondolewa hawa watawala wetu na atupe wenye maarifa ya kutupeleka kwenye kulamba asali na maziwa...
 
Tatizo la msingi ninaloliona ni kwamba nchi yetu bado IPO nyuma kukabiliana na dharula. Kama ilivyofanyika kwenye gesi kwa kupitishwa kwa hati za dharula basi twende mbele zaidi.

Naamini Kinana anatamani changamoto hizo zitatuliwe lakini kama atakuwa pekee yake basi
 
Kuna taarifa kuwa Halmashauri Kuu ya CCM hivi karibuni itakutana na Mawaziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujadili hali ya uchumi wa Tanzania na upandaji holela ya bei ya bidhaa mbalimbali hapa nchini. Nashauri katika kikao hicho aalikwe Mhe. Shabiby ili awape uzoefu wake katika sekta ya mafuta.
 
Wakitoka hapo..waende moja kwamoja kuanzisha mashamba makubwa ya alizeti na ngano..ni aibu kwa nchi kubwa kama hii kuimport mafuta yakula na ngano.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni porojo tu lengo kugawana asali, hakuna suluhu huko.
 
Kwenye hicho kikao ACT hawajaalikwa ?

images - 2022-04-12T151736.113.jpeg
 
Kuna taarifa kuwa Halmashauri Kuu ya CCM hivi karibuni itakutana na Mawaziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kujadili hali ya uchumi wa Tanzania na upandaji holela ya bei ya bidhaa mbalimbali hapa nchini. Nashauri katika kikao hicho aalikwe Mhe. Shabiby ili awape uzoefu wake katika sekta ya mafuta.
waache wale kwa urefu wa kamba zao aisee. who cares
 
Mawaziri n watu wa kawaida Sana kwenye maswala ya uchumi Mana wengi wao hawajui lolote kuhusu uchumi na kukuza uchumi wa taifa lao.

Hyo pesa ya kulipana posho iende moja kwa moja kwenye kilimo Cha alizeti na ngano itasaidia wengi na mengi kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom