zaidi ya mshahara wa waziri na posho zake ambazo haziwezi zidi m7 kwa mwezi. Kuna kipato gani zaidi cha kumuwezesha mtu kujenga nyumba ya b1 kwa kuzingatia na maisha mengine yanaendelea?
nawasihi tuache wivu na fitina,,,mambo haya ndio yanasababisha watu kuwekeza na kuficha fedha nje ya nchi,,,,mimi nina miaka 15 ya utumishi...afisa mdogo,,,mshahara wangu na marupurupu yangu yote,,,leo hayazidi 1.5mil kwa mwezi,,,sijawahi pata take home laki nne,,mimi ni kukopo kukopa na mimi,,nawekeza,,najenga,,mwishon walevi,,wachangia harusi,wasiopitwa na fashion ya magari na mavazi,,,wananiita fisadi,,thaman ya nyumba ile na heka 6 nilizonunua miaka 13 iliyopita,,kibaha kwa eka elfu50,,,mshahara ukiwa laki mbili,,,leo sina hata bajaji,,nikimaliza nitanunua magari,,,si mtaandamana,,,hivi waziri wetu kuwa na heka tatu ni issue,,na nyumba ya mil500,mavaluer wasaidie,,,sitetei ufisadi naangalia logic,,,,zipo mali za kupigia kelele,,hazielezeki,,,,,:yo: