Mawaziri wa mambo ya nje wa Ufaransa, Ujerumani, Italia na Uingereza wanasema wanaunga mkono mpango unaoungwa mkono na Waarabu wa kuijenga upya Gaza.

Mawaziri wa mambo ya nje wa Ufaransa, Ujerumani, Italia na Uingereza wanasema wanaunga mkono mpango unaoungwa mkono na Waarabu wa kuijenga upya Gaza.

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Mawaziri wa mambo ya nje wa Ufaransa, Ujerumani, Italia na Uingereza wanasema wanaunga mkono mpango unaoungwa mkono na Waarabu wa ujenzi wa Gaza ambao ungegharimu $53bn na kuepuka kuwafukuza Wapalestina kutoka katika eneo hilo.
===============

BREAKING: The foreign ministers of France, Germany, Italy and the UK say they support the Arab-backed plan for the rebuilding of Gaza that would cost $53bn and avoid displacing Palestinians from the enclave.

🔴 LIVE updates: aje.io/bl20ht


View: https://x.com/ajenglish/status/1898333080152383645?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Sasa ikijengwa na wakaachwa waishipo waache kabisa ugaidi la sivyo itabomolewa tena kwani gharama ya kubomoa sio kubwa kama ya kujenga na watauawa zaidi ya walivyouawawa kipindi hiki.
 
mama tuletee mapalestina bongooo...wale ni ndugu zetuuu kabisaa tuyajengee
 
Back
Top Bottom