kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
2015 muda Kama huu Kigwangala alikuwa tayari ameshasimama getini kushughulika na watoro na wachelewaji maofisini.
Dakika Kama hizi tayari watu wameshafungasha virago kwa fitina za mkuu wa mkoa wa Dar.
Dakika hizi viongozi waandamizi washautwa mafisadi wanapambana na maelezo polisi na takukuru
Mida Kama hii nchi imeshakua na wateule wapya kila kona kwa amri mbalimbali. Mawaziri wa safari hii mnasubiri Hadi mzee aone mapungufu awaelekeze kuchukua hatua?
Anzeni japo na cement maana mkifanikiwa hii angle mtakuwa mmeanza vizuri, hakuna watu wameficua hi Mali sehemu?
Dakika Kama hizi tayari watu wameshafungasha virago kwa fitina za mkuu wa mkoa wa Dar.
Dakika hizi viongozi waandamizi washautwa mafisadi wanapambana na maelezo polisi na takukuru
Mida Kama hii nchi imeshakua na wateule wapya kila kona kwa amri mbalimbali. Mawaziri wa safari hii mnasubiri Hadi mzee aone mapungufu awaelekeze kuchukua hatua?
Anzeni japo na cement maana mkifanikiwa hii angle mtakuwa mmeanza vizuri, hakuna watu wameficua hi Mali sehemu?