Mawaziri wa Ulinzi NATO kutofautiana njia za kijeshi dhidi Ya Russia, ni Dalili ya Ushindi Kwa Russia?

Mawaziri wa Ulinzi NATO kutofautiana njia za kijeshi dhidi Ya Russia, ni Dalili ya Ushindi Kwa Russia?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ladies and Gentlemens,

Mawaziri wa Ulinzi Jumuiya ya kujihami NATO Jana wameshindwa kuafikiana na kua na msimamo wa pamoja juu ya hatua muafaka za kijeshi zinazokusidiwa kuchukuliwa dhidi Rassia yenye nguvu Zaidi. Je, kuna wanachama ndani ya Jumuiya ya NATO ni waoga au ni Marafiki wa Russia na wana maslahi na Russia au hawaoni sababu ya kuivamia Russia kijeshi au labda wanaamini katika meza ya mazungumzo kupata Suluhu na kwa hivyo wanahujumu mipango na jitihada za Jumuiya kijeshi dhidi ya Rassia?

Let's wait and see.

Mkutano ujao wa NATO ni July. Hali hii itaendelea hivi au kutakua na muafaka wa pamoja. Kumbuka Ukraine inaendelea kuteketezwa, inapewa silaha na wanachama wa NATO hali yakua nguvu kazi ya kutumia silaha hizo ni wachache na wanapotea taratibu siku hadi siku na hivi sasa wanaanza kuwafunza watoto masuala ya kijeshi ili kuwa wazalendo na kuipambania nchi yao, nao vilevile wataingizwa vitani na watapotezwa taratibu.

Kumbuka madhara ya hili la kuwafunza watoto masuala ya kijeshi ni kuiandaa nchi kwa mapinduzi ya Mara kwa Mara na ya wenyewe kwa wenyewe. Brothers and sisters ina tia huruma sana.

Mpaka sasa Ukraine dhaifu sana, inakadiriwa kua na wakimbizi zaidi ya M.7 huko ulaya na marekani. Watu zaidi ya M.5 wa Ukraine wameuawa hii ni pamoja na wanajeshi, watoto na raia wasio na hatia.

Hali ikiendelea hivi si wa-Ukraine wataisha na NATO haitakua na watu inaowapigania ndani ya Ukraine? Au lengo la NATO ni Ukraine iishe then wao waanzishe Taifa la NATO kwenye ardhi tupu ya Ukraine?

I see the unavoidable WW3.
That's my take,
Wasalam...
 
Ukimchagua mtu kama mwinjaku au kingwendu kua rais unafikiri nini matokeo yake. Mchekeshaji myahudi unampa kua rais huku hana uzoefu wa siasa? Yote hiyo ni mipango ya marekani. Nchi za ulaya magharibi zimezoea kufuata na kutii maelekezo ya marekani ili kwenye ubeberu wake waweze kupata na wao ngawira. Huko ukraine wamechagua moto kwa urusi. Nchi hizo zinaungua badala ya kupata ngawira.
 
Ukimchagua mtu kama mwinjaku au kingwendu kua rais unafikiri nini matokeo yake. Mchekeshaji myahudi unampa kua rais huku hana uzoefu wa siasa? Yote hiyo ni mipango ya marekani. Nchi za ulaya magharibi zimezoea kufuata na kutii maelekezo ya marekani ili kwenye ubeberu wake waweze kupata na wao ngawira. Huko ukraine wamechagua moto kwa urusi. Nchi hizo zinaungua badala ya kupata ngawira.
Putin alipoivamia Ukraine 2014 akapora Crimea Kingwendu alikuwa Rais wao??
 
Fuatilia alichosema Putin kwenye Plenary session of the International Economic Forum in Saint Petersburg, Russia, on Friday, June 16, 2023.
Ndipo utakapoelewa kuwa hata NATO ingepeleka Fedha na Silaha kiasi gani haziwezi kuisaidia Ukraine.
 
.
Screenshot_20230313-143119_100827.jpg
 
Ladies and Gentlemens,
Mawaziri wa Ulinzi Jumuiya ya kujihami NATO Jana wameshindwa kuafikiana na kua na msimamo wa pamoja juu ya hatua muafaka za kijeshi zinazokusidiwa kuchukuliwa dhidi Rassia yenye nguvu Zaidi. Je, kuna wanachama ndani ya Jumuiya ya NATO ni waoga au ni Marafiki wa Russia na wana maslahi na Russia au hawaoni sababu ya kuivamia Russia kijeshi au labda wanaamini katika meza ya mazungumzo kupata Suluhu na kwa hivyo wanahujumu mipango na jitihada za Jumuiya kijeshi dhidi ya Rassia?
Let's wait and see.
Mkutano ujao wa NATO ni July. Hali hii itaendelea hivi au kutakua na muafaka wa pamoja. Kumbuka Ukraine inaendelea kuteketezwa, inapewa silaha na wanachama wa NATO hali yakua nguvu kazi ya kutumia silaha hizo ni wachache na wanapotea taratibu siku hadi siku na hivi sasa wanaanza kuwafunza watoto masuala ya kijeshi ili kuwa wazalendo na kuipambania nchi yao, nao vilevile wataingizwa vitani na watapotezwa taratibu.
Kumbuka madhara ya hili la kuwafunza watoto masuala ya kijeshi ni kuiandaa nchi kwa mapinduzi ya Mara kwa Mara na ya wenyewe kwa wenyewe. Brothers and sisters ina tia huruma sana.
Mpaka sasa Ukraine dhaifu sana, inakadiriwa kua na wakimbizi zaidi ya M.7 huko ulaya na marekani. Watu zaidi ya M.5 wa Ukraine wameuawa hii ni pamoja na wanajeshi, watoto na raia wasio na hatia. Hali ikiendelea hivi si wa-Ukraine wataisha na NATO haitakua na watu inaowapigania ndani ya Ukraine? Au lengo la NATO ni Ukraine iishe then wao waanzishe Taifa la NATO kwenye ardhi tupu ya Ukraine?
I see the unavoidable WW3.
That's my take,
Wasalam...
Ni jambo la kawaida, Uturuki alizuia Finland kujiunga NATO baadae akakubali hataivyo amezuia tena kwa Sweden lakini juhudi zinafanyika (process on going) na wao wataenda zao NATO
 
Umerundika maandishi sehemu moja alafu unauliza na kujijibu humo humo kiufupi hueleweki ndugu
Kurudia maandishi hakuondoi maudhui maana hapa hatuko darasa la lugha na uandishi.
Kujiuliza na kujibu hakuzuii watu wengine kuelewa na kuchangia ama kusoma mada kama ulivyosoma wewe.
Kwa kifupi ni kwamba ujumbe aliokusudia umefika kuwa makamanda wa NATO wameshindwa kukubaliana jinsi ya kuikabili Mighty Russia.
Nami nakazia maamuzi yoyote ya kujaribu kuingiza vijana wao ni njia mojawapo ya kuya fanya mataifa Yao kua ombaomba baada ya vita.

Kwani wachambuzi wa mambo wanasema kama vita kuu ya Tatu itatokea,basi vita kuu ya nne itapiganwa kwa mawe na fimbo.

Unajua maana yeke?
Maana yake baada ya vita ya tatu Dunia itarudi nyuma Hadi zama za mawe,kwani madhara yake ni uharibifu wa maendeleo yote.
 
Kurudia maandishi hakuondoi maudhui maana hapa hatuko darasa la lugha na uandishi.
Kujiuliza na kujibu hakuzuii watu wengine kuelewa na kuchangia ama kusoma mada kama ulivyosoma wewe.
Kwa kifupi ni kwamba ujumbe aliokusudia umefika kuwa makamanda wa NATO wameshindwa kukubaliana jinsi ya kuikabili Mighty Russia.
Nami nakazia maamuzi yoyote ya kujaribu kuingiza vijana wao ni njia mojawapo ya kuya fanya mataifa Yao kua ombaomba baada ya vita.

Kwani wachambuzi wa mambo wanasema kama vita kuu ya Tatu itatokea,basi vita kuu ya nne itapiganwa kwa mawe na fimbo.

Unajua maana yeke?
Maana yake baada ya vita ya tatu Dunia itarudi nyuma Hadi zama za mawe,kwani madhara yake ni uharibifu wa maendeleo yote.
💪🤓 asipoelewa tena basi hataki kujua ingawa fursa ya kujifunza na kuelewa zaidi ukweli wa mambo kuhusu hii vita bado ipo kama hivi yaani dah....🔥
 
Back
Top Bottom