Mawaziri wa Ulinzi NATO kutofautiana njia za kijeshi dhidi Ya Russia, ni Dalili ya Ushindi Kwa Russia?

Mawaziri wa Ulinzi NATO kutofautiana njia za kijeshi dhidi Ya Russia, ni Dalili ya Ushindi Kwa Russia?

Tuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine

Tuikemeee vikaliiii [emoji1787][emoji1787]
 
Tuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine
Huwez kutokuegemea upande bandugu


Kinachofanyika ni kujizuia kutotoa msaada wa moja kwa moja utakaochagiza mgogoro kuendelea kuwa mkubwa
 
Hapo mbona hakuna la ajabu.

Unazungumzia mataifa zaidi ya 30 Kila mshirika anaangalia maslahi yake kwanin unashangaa kutoelewana? Na ukaenda kwenye hitimisho moja kwa moja.
 
hawataki.uharibifu.uwapate.wakose.pa.kulala.kama.waukraine kwa kifupi.RAIA wao.hawataki shida. kwa.kumfurahisha.marekani
 

Attachments

  • _129888088_whatsappimage2023-05-27at6.16.25pm-1.jpg
    _129888088_whatsappimage2023-05-27at6.16.25pm-1.jpg
    30.8 KB · Views: 1
Hapo mbona hakuna la ajabu.

Unazungumzia mataifa zaidi ya 30 Kila mshirika anaangalia maslahi yake kwanin unashangaa kutoelewana? Na ukaenda kwenye hitimisho moja kwa moja.
Ok
 
Ukimchagua mtu kama mwinjaku au kingwendu kua rais unafikiri nini matokeo yake. Mchekeshaji myahudi unampa kua rais huku hana uzoefu wa siasa? Yote hiyo ni mipango ya marekani. Nchi za ulaya magharibi zimezoea kufuata na kutii maelekezo ya marekani ili kwenye ubeberu wake waweze kupata na wao ngawira. Huko ukraine wamechagua moto kwa urusi. Nchi hizo zinaungua badala ya kupata ngawira.
Kingwendu ni Bora kuliko takataka mwijaku
 
Tuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine
Alaumiww Urusi muasisi wa haya , alifuatwa mara 3 ila kiburu na hata siku 1 kabla hajavamia Biden alimuomba Putin asitishe kuivamia Ukraine ila Putin akakaidi
 
Ukimchagua mtu kama mwinjaku au kingwendu kua rais unafikiri nini matokeo yake. Mchekeshaji myahudi unampa kua rais huku hana uzoefu wa siasa? Yote hiyo ni mipango ya marekani. Nchi za ulaya magharibi zimezoea kufuata na kutii maelekezo ya marekani ili kwenye ubeberu wake waweze kupata na wao ngawira. Huko ukraine wamechagua moto kwa urusi. Nchi hizo zinaungua badala ya kupata ngawira.
Na 2014 Urusi alipoivamia Na kupora Crimea na kufadhiri uasi nchini Ukraine , rais gan asie na uzoef alikuwa madarakan ? Mbona mnaficha ukwel kuwa Putin hii ndo tabia yake kuvamia majiran
 
Back
Top Bottom