zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Tuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine
Tuikemeee vikaliiii [emoji1787][emoji1787]