Tuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine
Huwez kutokuegemea upande banduguTuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine
Kingwendu ni Bora kuliko takataka mwijakuUkimchagua mtu kama mwinjaku au kingwendu kua rais unafikiri nini matokeo yake. Mchekeshaji myahudi unampa kua rais huku hana uzoefu wa siasa? Yote hiyo ni mipango ya marekani. Nchi za ulaya magharibi zimezoea kufuata na kutii maelekezo ya marekani ili kwenye ubeberu wake waweze kupata na wao ngawira. Huko ukraine wamechagua moto kwa urusi. Nchi hizo zinaungua badala ya kupata ngawira.
Kwan sabab ni ipi?Nimecheka sijui kwanini
Alaumiww Urusi muasisi wa haya , alifuatwa mara 3 ila kiburu na hata siku 1 kabla hajavamia Biden alimuomba Putin asitishe kuivamia Ukraine ila Putin akakaidiTuilaani hii vita kwa nguvu zote bila kuegemea upande bali tusimame na watoto, wanawake na vikongwe wanaoathirika na upumbavu wa maonesho ya silaha yanayoendelea Ukraine
Na 2014 Urusi alipoivamia Na kupora Crimea na kufadhiri uasi nchini Ukraine , rais gan asie na uzoef alikuwa madarakan ? Mbona mnaficha ukwel kuwa Putin hii ndo tabia yake kuvamia majiranUkimchagua mtu kama mwinjaku au kingwendu kua rais unafikiri nini matokeo yake. Mchekeshaji myahudi unampa kua rais huku hana uzoefu wa siasa? Yote hiyo ni mipango ya marekani. Nchi za ulaya magharibi zimezoea kufuata na kutii maelekezo ya marekani ili kwenye ubeberu wake waweze kupata na wao ngawira. Huko ukraine wamechagua moto kwa urusi. Nchi hizo zinaungua badala ya kupata ngawira.