Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Bumunda Hana nyumba mpaka leoRushwa kwenye makampuni ya cm n.k ni zaidi ya mgodi wa Mererani mkuu
Inawezekana pale Mtama hana lakini Dubai, Duban n.k ana maghorofa ya kufa mtuSasa Bumunda Hana nyumba mpaka leo
Hata Mkapa hakuwa na nyumba Lupaso lakini alikuwa na maghorofa Lushoto, SA, Dar, Morogoro na ArushaSasa Bumunda Hana nyumba mpaka leo
Wewe wasemaBasi hawalipwi mshahara wa ubunge, wanapokea posho pekee. Serikali hailipi mishahara miwili.
Hawo mawaziri na watumishi wote wa serikali wanamifuko ya hifadhi kama PSSF hivyo tangu wanaajiriwa tuchukulie unalipwa 10000 kuna asilimia 25-40 ambayo unachangia so ikitokea umeachishwa unapewa pesa au kufa inakiwa mirathi ya familia ako au sioHivi Karibuni tumeshuhudia Mawaziri Ndalichako, Nape na Makamba Jr wakitumbuliwa.
Je, wanalipwa pesa yoyote kwa Miaka waliyotumikia Uwaziri? Ikiwa Ndio, pesa hizo zinatoka fungu gani katika bajeti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama v8 inaondoka mtu yupo ukumbini unatarajia mafao gani
Mafao watapata ya Ubunge sio uwaziri, pale kinachomuuma mtumbuliwa ni V8 na poshoHivi Karibuni tumeshuhudia Mawaziri Ndalichako, Nape na Makamba Jr wakitumbuliwa.
Je, wanalipwa pesa yoyote kwa Miaka waliyotumikia Uwaziri? Ikiwa Ndio, pesa hizo zinatoka fungu gani katika bajeti?