Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Hivi Karibuni tumeshuhudia Mawaziri Ndalichako, Nape, Kairuki, Oddo Ummi na Makamba Jr wakitumbuliwa.
Je, wanalipwa pesa yoyote kwa Miaka waliyotumikia Uwaziri? Ikiwa Ndio, pesa hizo zinatoka fungu gani katika bajeti?
Je, wanalipwa pesa yoyote kwa Miaka waliyotumikia Uwaziri? Ikiwa Ndio, pesa hizo zinatoka fungu gani katika bajeti?