Mawaziri wamepuuza maagizo ya Makonda?

Mawaziri wamepuuza maagizo ya Makonda?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Hakuna hata waziri mmoja aliyepeleka ripoti ya utendaji kazi mpk sasa. Yupo waziri fulani yeye aliamua kumtemea mbovu Makonda kwa kusema kuwa "kuna watu 4 tu wanaoweza kumuamrisha nchi hii". Makonda ni debe tupu.

Screenshot_20240316-173803_1.jpg
 
Mnapenda kumjadili huyo kilaza asiyejua hata taratibu za utendaji. Nchi makini hawawezi kukaa kujadili ujinga huwa wanapuuzwa nivile Tz malofa wengi ukiwa kiherehere unaonekana wamaana kuliko
 
Mtanzania sio mtu wnayekubali kupelekwa pelekwa kama gari bovu
 
Kumbuka chama kimeshika hatamu na yeye ni msemaji. Kipi kisichoeleweka? Uwaziri chama kimekupa, ni kwa nini usimtii msemaji wake?
 
Hakuna hata waziri mmoja aliyepeleka ripoti ya utendaji kazi mpk sasa. Yupo waziri fulani yeye aliamua kumtemea mbovu Makonda kwa kusema kuwa "kuna watu 4 tu wanaoweza kumuamrisha nchi hii". Makonda ni debe tupu.

View attachment 2936437
Makonda ni kiazi mbatata, hakuna akili kichwani. Huwa anatumika na wana siasa kufanya vurugu tu kwa vile kuchwa chake hakina ubongo.

Zaidi ya matako makubwa hana kingine cha kuringia
 
Yani ulitaka wakipeleka wakuite ili muwe wote?
 
Makonda ni kiazi mbatata, hakuna akili kichwani. Huwa anatumika na wana siasa kufanya vurugu tu kwa vile kuchwa chake hakina ubongo.

Zaidi ya matako makubwa hana kingine cha kuringia
daaaaah we jamaa hua ni sadist kinoma,
Una uhakika kichwa chako kina ubongo?
 
Makonda hajasoma ila ukiwambia mbowe kaishia la saba tu wanaanza matusi Unamtukanaje makonda namna hiyo humlishi humvishi humpi chochote ameaminiwa na mamlaka samia unambeza magufuri unambeza. Kikwete ulimbeza mkapa unambeza nenda kaishi kwa kagame basi
 
daaaaah we jamaa hua ni sadist kinoma,
Una uhakika kichwa chako kina ubongo?
Hapa ni Novemba 2014, Ubungo Plaza aliambiwa akavuruge mkutano wa Jaji Warioba. Halafu uniambie kuwa Makonda ana ubongo??
Screenshot_20240317_102317_Google.jpg
 
Back
Top Bottom