Tetesi: Mawaziri wanaoingiliwa majukumu na RC Makonda kuanza vikao kumjadili

Tetesi: Mawaziri wanaoingiliwa majukumu na RC Makonda kuanza vikao kumjadili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
FB_IMG_1505050221843.jpg

Mh.Makonda akikagua gwaride

Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.

Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.

Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao

Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
 
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
 
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Nilimshuhudia hai! Sawa na bashite! MalyaMungu= Bashite
 
Iddi Amin alikuwa na Mtu anayeitwa James MalyaMungu, Iddi amini akichukuia kitu hata kama hajatoa Amri kesho kile kitu kinafutika katika uso wa Dunia, Iddi Amini alikuwa akisema Kiwanuka hafai hata kidogo kesho ataambiwa maiti ya Kiwanuka iko kwenyenjokofu sehemu
MalyaMungu alikuwa anaogopwa kuliko Iddi Amini
Alijulikana zaidi kama Isaac Maliyamungu na aliua sana...yasemekana kwamba hata Idi Amin mwenyewe kwa kiasi fulani alimuogopa! Alishabahiana na Bashite kwa mengi kuanzia tabia (ujasiri na ukatili) na elimu ndogo.
 
Mawaziri wanaokubali kuitwa wapumbavu bila hata kutoa mguno wa kukataa kudhalilishwa mbele ya Watanzania milioni 50 ikiwemo wake, waume zao, watoto wao ndugu jamaa na marafiki hawana ubavu wa kupambana na mfojaji vyeti na jambazi DAB kwa kuhofia vitumbua vyao kuingia mchanga. Mawaziri wapumbavu ndivyo walivyo Mkuu.
Wakuu wa mikoa hawahitaji kuonyesha vyeti wanapaswa wajue 3K. (Kuhesabu, Kusoma na Kuandika) maneno ya waziri wa utumishi na utawala bora
 
Choko choko za kumyofoa mwigulu zimeanza

[emoji124]‍♂️naenda zimbobo.
 
View attachment 585719
Mh.Makonda akikagua gwaride

Kuna tetesi kuwa mawaziri wanaoingiliwa na Mkuu wa Mkoa Dar kimajukumu wanatarajia kuanzia kesho visivyo rasmi kumjadili. Mawaziri hao wamekuwa wakilalamika Makonda kukwapua majukumu ya wizara kupita kawaida jambo linalowafanya wao waonekane wapumbavu mbele ya Rais.

Wametolea mfano Makonda kumpoka Waziri Mwigulu katika kusimamia na kuamrisha jeshi la polisi mkoa wa Dar.

Tukio la juzi Makonda kuzuia bomoa bomoa imewaumiza sana na kuonekana Waziri wa Ardhi hatimizi wajibu wake. Pia mawaziri hao wamekuwa wazito kuchukua hatua kwa masuala ya Dar es Salaam wakihofia kudhalilika ikiwa Makonda atatengua maagizo yao

Vikao hivyo vitaanza Dodoma wiki kesho na vitaendelea kwingineko kadri watakavyokuwa wanakutana
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji95] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom